Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 753
Kuna wanene wenye umbo # 8 na wengine hawana kiuno kabisa wapo kama pipa
Sasa wewe umekwenda kwenye maumbo wakati The Boss anazungumzia tabia.
Kuna wanene wenye umbo # 8 na wengine hawana kiuno kabisa wapo kama pipa
dude,
mimi nahitaji vile vifaa vya gym kama tulivyoongea...vipi UTAGEUKA BONGO TUFANYE KAZI?
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
Wanawake wanene......
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
ukiwacheat husamehe upesi....
Source: the Boss..(2010)
1.Kama source ya findings ni wewe mwenyewe..mhhh nakuvulia kofia... utakuwa wote hao umewa subject to the same experience with you....... hadi ukafikia tamati kuwa wanene wako hivi na wembamba wako vile.
sidhani kuna mtu atavunja rekodi hii ispokuwa wewe mwenyewe.
2. Few questions out of curiosity..
a. Hiyo sample yako ilikuwa ya wanawake kutoka wapi - Tanzania tu, Afrika, weusi tu, wenye umri mdogo au wa kati au wazee, wenye uwezo au maskini, waliosoma au wasiosoma, etc... hii ni muhimu kujua kama kweli hili hitimisho ni sahihi.
b. Huu utafiti wako ulichukua muda gani hadi ukapata findings
c. nashawishika kukuuliza mengi lakini niishie hapa kwa sasa.
The opposite.Kinyume chake mbona hamsemi jamani kwa mfano mm ni mwembamba so???
Mhhh!Kuna wanene wenye umbo # 8 na wengine hawana kiuno kabisa wapo kama pipa
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
The opposite.
Naona unaharibu hali ya hewa hapa sasa!Basi na hizi ndio madhara ya kuwa nao:
1. Atawasamehe ma ex- wake wote, hivyo kamwe hautokuwa peke yako, bali utakuwa umeongeza idadi tu.
2. Atawaomba msamaha hata ma ex- wake, ili aendelee kujivinjari nao daima.
3. Huenda pia akikuacha basi hutamuona tena maishani mwako
4. Ole wako ampate aliyempenda zaidi yako, utajuta kumfahamu.
5. Rejea namba 2 hapo juu.
6. Hata wakibanwa kwenye korido wanakubali yaishe.
7. Hivyo sio wachapakazi, na akimpata mtu hutamng'atua kamwe.
8. Hata akiitwa baa usiku hagomi kwenda hata siku moja, na akiambiwa fanya hivi, anafanya shap.
9. Hivyo, hata machokora wanapata access.
10. Hata kupika, kuoga, kutandika kitanda, nk.... wanasahau kwa urahisi mno.