next
JF-Expert Member
- Nov 2, 2007
- 604
- 185
Unazungumzia XXL au?
Anazungumzia BBW
Unazungumzia XXL au?
Wanaogeukageuka sana kwenye mapenzi sio kwamba ni wajuaji hawajaelewa vizuri starehe iko wapi, mtu game moja style kumi, ni utoto tu ukikua unatulia na kufaidi tu, atleast 3 style per game lolTatizo wanasumbua kugeuka geuka
<br />1.wepesi wa kusamehe..<br />
2.wanapenda ku please<br />
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja<br />
4.wakipenda wanapenda kweli..<br />
5.wepesi wa kuomba msamaha<br />
6.sio wabishi<br />
7.wanajua kudeka na kudekeza<br />
8.watiifu.<br />
9.hawaringi sana.<br />
10.wanasahau haraka.....<br />
<br />
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke<br />
chagua mwanamke mnene......
Mhhhhhh kama limekuchoma vile, yani una kembamba halafu kabishi kanajidai kanaringa gubu na mengineyo pole mwanakili90<br />
<br />
Bosi mwenye mawazo ya KiTUMWA,inamana wanawake wote wanene wamezaliwa ivo? Wengine ni unene/wamenenepea ukubwani,iweje uorodheshe mambo zote kwa watu wanene namtu hata kuna wembamba wenye sifa izo.
Point to note:neno lako sio sheria,na hata kama ni sheria inaweza pitia marekebisho.sikubaliani na mada.
kwa hiyo unataka tuamini alivyosema ....? na huo wembamba wako .ni ngumu sana kumsamehe
mi nashangaa sijui vigezo kapata wapiMie mwembamba ina maana sina hizo sifa?
Mie mwembamba ina maana sina hizo sifa?
lol! atleast nimejua figure za baadhi ya wana jf na pia wapenzi wao through this post:becky:
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......
1.wepesi wa kusamehe..
2.wanapenda ku please
3.wanatulia kwa mwanaume mmoja
4.wakipenda wanapenda kweli..
5.wepesi wa kuomba msamaha
6.sio wabishi
7.wanajua kudeka na kudekeza
8.watiifu.
9.hawaringi sana.
10.wanasahau haraka.....
kwa ujumla ukitaka kupendwa na mwanamke
chagua mwanamke mnene......