mama yako unamwonaje?awe kama yeye angalau ama kumzidi
Jamani hivi inawezekana kweli mwanaume rijali kabisa na mwenye siha nzuri mpaka anafikia umri wa kuoa hajajua sifa za mwanamke anayefaa kuwa mke....................! Hebu tuacheni utani, na tuwe serious japo kidogo.
Uzuri wa nyumba choo na choo chenyewe kisijae. Nalog offmwanamke makalio lol