Oa Binti anayeishi Kwa wazazi wake wote wawili. Mengine ni kujilusha upepoHabari wanajf nipo natafta mke naomba kujua sifa za Wanawake wa kikurya
Haha sasa channel zitashika aje? Ama watakojoa chooni tu.Nasikia Wana madishi tu ving'amuzi hawana
Fundi ving'amuzi niko hapa tayari kwa huduma iliyo boraNasikia Wana madishi tu ving'amuzi hawana
Hawa channel sio muhimu...mradi madishi yapo basi wanapokea kinachoingia na wanazaa hao balaaHaha sasa channel zitashika aje? Ama watakojoa chooni tu.
Channel kushika na kukojoa chooni zinaingiliana vp.? Au mnaongea kwa code.? Mana haya mambo bhana inabidi tuulize kwanzaHaha sasa channel zitashika aje? Ama watakojoa chooni tu.
Code. Kama imepita bila achana nayo.Channel kushika na kukojoa chooni zinaingiliana vp.? Au mnaongea kwa code.? Mana haya mambo bhana inabidi tuulize kwanza
Weee 😅😅😅Fundi ving'amuzi niko hapa tayari kwa huduma iliyo bora
Kwa kweli mana sio lazima kila kitu niwe nakijuaCode. Kama imepita bila achana nayo.
Anaongea nn huyu 😆😆😆😆Code. Kama imepita bila achana nayo.
Ye anajua kuna madishi na ving’amuzi vya Azam tu na DStv 🤣🤣🤣Anaongea nn huyu 😆😆😆😆
Tumemuacha mbali sana huyu 🤣🤣Ye anajua kuna madishi na ving’amuzi vya Azam tu na DStv 🤣🤣🤣
Hiyo ilikuwa wa zamani bhana.Nasikia Wana madishi tu ving'amuzi hawana