Sifa za husband material

Sifa za husband material

1. Anajitambua 2. Mpole 3. Ana busara 4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba 5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza 6. Hayuko tayari ku kupoteza 7. Ana risk kila kitu kwaajili yako 8. Ana huruma 9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha 10. Ana kusifia very often 11. Anakua open na kueleza mipango yake 12. Anakua na wewe kwenye shida na raha 13. Anakuambia nakupe very often 14. Anawajulia hali familia yako 15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo 16. Ni mpambanaji na anajitegemea Na zingine malizieni.

Hizo sifa za wezi na majambazi.
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
Tatizo huwa mnahitaji wanaume wenye sifa wakati nyie hamna sifa hata moja ,
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
Naona unaongelea watu wa kwenye movies au vitabu vya stories.




Tofauti na hapo, tarajia vichache sana katika hiyo list.
 
Back
Top Bottom