FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
1. Anajitambua 2. Mpole 3. Ana busara 4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba 5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza 6. Hayuko tayari ku kupoteza 7. Ana risk kila kitu kwaajili yako 8. Ana huruma 9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha 10. Ana kusifia very often 11. Anakua open na kueleza mipango yake 12. Anakua na wewe kwenye shida na raha 13. Anakuambia nakupe very often 14. Anawajulia hali familia yako 15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo 16. Ni mpambanaji na anajitegemea Na zingine malizieni.
Hizo sifa za wezi na majambazi.

