Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,944
- 177,160
Staki kupewa ban za rejareja mi uduguuu namie nataka kuwasemelea watu humu🏃🏻♂️!Me huyu?? Thubutuuu
Kwa kipi haswaa??!! 🤣🤣🤣
Staki kupewa ban za rejareja mi uduguuu namie nataka kuwasemelea watu humu🏃🏻♂️!Me huyu?? Thubutuuu
Kwa kipi haswaa??!! 🤣🤣🤣

🤣🤣🤣🤣 Tafuta bas udugu me kumiliki mudi siwezi anaweza kuharibu kazi ofisini kwa watuStaki kupewa ban za rejareja mi uduguuu namie nataka kuwasemelea watu humu🏃🏻♂️!
Mi humu nawezea wapi ndugu yangu hapo sasa tutaonewa sana humu tuwe wapole tu! 🤠🚶🏻♀️🚶🏻♀️🤣🤣🤣🤣 Tafuta bas udugu me kumiliki mudi siwezi anaweza kuharibu kazi ofisini kwa watu
Ukinidate me unatakiwa uvae miwani ya mbao na moyo wako uwe strong
Hujaamua tu udugu, km kaukau zimepata utashindwa weye dada mwenye mshepu wake jf nzima 😜Mi humu nawezea wapi ndugu yangu hapo sasa tutaonewa sana humu tuwe wapole tu! 🤠🚶🏻♀️🚶🏻♀️
Hahah🤣🤣🤣🙌🤣🤣🤣🤣 Tafuta bas udugu me kumiliki mudi siwezi anaweza kuharibu kazi ofisini kwa watu
Ukinidate me unatakiwa uvae miwani ya mbao na moyo wako uwe strong
Mweh shepu nitoe wapi mi utani wa ngumii huu 🤠!Hujaamua tu udugu, km kaukau zimepata utashindwa weye dada mwenye mshepu wake jf nzima 😜
Very strong lasivyo atakimbia yeye au atembeze ban kwa kila atakayeniquote 🤣🤣🤣Hahah🤣🤣🤣🙌
Hahaha😂😂... fanya hivyo bhana, wakitusumbua tu tunamwambia shem darling awapige ban wote😂Very strong lasivyo atakimbia yeye au atembeze ban kwa kila atakayeniquote 🤣🤣🤣
Tatizo iki kichwa atakiweza? 😂😂😂Hahaha😂😂... fanya hivyo bhana, wakitusumbua tu tunamwambia shem darling awapige ban wote😂
asipokua makini anaweza akajipiga ban hadi yeye mwenyewe sio😂😂😂🙌Tatizo iki kichwa atakiweza? 😂😂😂
Na platform ya watu yote anaifutilia mbali 😂😂😂asipokua makini anaweza akajipiga ban hadi yeye mwenyewe sio😂😂😂🙌
Asa si atakosa kazi mtoto wawatu afe na njaa jamani😂Na platform ya watu yote anaifutilia mbali 😂😂😂
Afu unashangaa mudi mwenyewe raraa reree 🤣🤣🤣🤣Asa si atakosa kazi mtoto wawatu afe na njaa jamani😂
Jirani naona unanishinda tabia sasa😂😂... kwanini awe robot raraa reree 😃😃Afu unashangaa mudi mwenyewe raraa reree 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 Ndiye mtu anayeweza kugawa likes kwenye nyuzi 10 kwa wakati mmojaJirani naona unanishinda tabia sasa😂😂... kwanini awe robot raraa reree 😃😃