Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,937
- 8,170
Haya matamthilia yanaharibu sana wanawake sasa wanaume wote hao mnataka muwe nao kwa pamoja
Hivyo utavipata kwa wanaume si chini ya 10 tofauti bora kadange tu maana haitakuwa na utofauti mkubwa


Haya matamthilia yanaharibu sana wanawake sasa wanaume wote hao mnataka muwe nao kwa pamoja
Lazima ukimwangalia vizuri atakuwa na udada dada. Mfano ukiwa na sifa ya 8 inatosha.Kuna wakaka wana hizo zoteeeee!😂
Watu wa ovyo sana utakuta umempata mwenye sifa zote alafu unaenda kuliwa na Mudi boda boda au na Muha mkopesha vyombo!


Yule uliyemfumania anachati na mademu wengine ukachoma moto nguo zake?.....Mume wangu Ana sifa hizo zote Ndio maana nikaona why not share with you guys mjifunze![]()
....... yule uliyefanya naye mapenzi ofisini..... Au yule aliyekutoa out akala chakula chako ulichoagiza?.....And for the correct I have a job and am independent ila I have a man who is very responsible and he takes good care of me , a real man
Muonee!Lazima ukimwangalia vizuri atakuwa na udada dada. Mfano ukiwa na sifa ya 8 inatosha.
Lakini akiwa na combination ya 6 na 7, basi ndio wale watu wanagonga wake zao, na wake zao wanasema HANA TABU ANANIAMINI SANA🤣.
Sifa hapo ni 1 mpaka 3 + Hela. Zilizobakia uki combine unapata mafala,wanyonge n.k at different levels.
Yule uliyemfumania anachati na mademu wengine ukachoma moto nguo zake?..... ....... yule uliyefanya naye mapenzi ofisini..... Au yule aliyekutoa out akala chakula chako ulichoagiza?.....
Wenzako wanazo ww huna Ndio maana unaona ni wanaume 16 tofauti![]()
Punguza kuangalia tamthilis kunywa maji mengi pata mda wa kusoma vitabu vya dini tembelea beach mara moja moja uweze kuepukana na sonona ulionayo bibie na acha kuota unthinkable things ni kama u wish kuwa kama SUPERMAN 🤣🤣🤣🤣🤣Wala sio wakina nyie kuna aisha
Hao ni wanaume wenyewe wanajielewa ambao kila mwanamke ni ndoto yake kuwa nae
N A K A Z I ANi mwanaume mpumbavu tu anaweza kuwa na sifa hizo zote. Na ni mwanamke mbinafsi tu na asiyejua kutafuta pesa atahitaji sifa zote hizo kwa mwanaume. Kaka zangu amkeni.