Sifa za husband material

Sifa za husband material

1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
17.Pia HAYUPO😂
 
Hivyo vyote unaweza pata kwa mwanaume mmoja ila tatizo nyie mnatoa nini zaidi mnaishia kuwaumiza na wanaamua kuwa mabedui. Ndio maana tukaamua kila mmoja awe na sifa moja wapo hapo ili msituchanganyie mafaili

nimegundua humu wanaume wengi wana trauma na wale experience wanawake matapeli
Jamani kuna wanawake ambao sio matapeli
Kuwa na Imani kwanza then utawaona
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
17.pia HAYUPO😂
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
Naona suala la kukojozwa hujaliweka kwakuwa mkata majani ya ng'ombe atamaliza hiyo shida!
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
Hii thread ni ya kutupanga wanaume tuwe mazwazwa ili wanawake wawe wanatutawala KIKONDOO. Katika jina la yeye aliyeniumba Alpha Male nasemaje, MMENIKOSAAA
 
1. Anajitambua
2. Mpole
3. Ana busara
4. Ni mtoaji sio mchoyo tena bila kuomba
5. Ana tafuta solution tu pindi akikukwaza
6. Hayuko tayari ku kupoteza
7. Ana risk kila kitu kwaajili yako
8. Ana huruma
9. Anakufanyia suprise often just kukufanya uwe na furaha
10. Ana kusifia very often
11. Anakua open na kueleza mipango yake
12. Anakua na wewe kwenye shida na raha
13. Anakuambia nakupe very often
14. Anawajulia hali familia yako
15. Sio mtu wa kununa wala kukasirika ovyo
16. Ni mpambanaji na anajitegemea

Na zingine malizieni.
Huyo atakuwa malaika material....
 
6, 7, 10, 11 na 13

Mwanaume akifanya hayo.

Huku kimbiji huwa wamama watu wazima wanasema.

Kalishwa mavi na mke wake.
 
😂
Mwanaume ukimuuliza
Atasema
1 anipende
2 aniheshimu
3 awe na chura (optional)
4 awe mweupe (optional)

Sidhani kama kuna itakayokuja nyingine aisee au kuna mwanaume ana nyingine?😃😃
 
Hivyo utavipata kwa wanaume si chini ya 10 tofauti bora kadange tu maana haitakuwa na utofauti mkubwa
 
Back
Top Bottom