Siasa za Mbeya 2005-2010

Siasa za Mbeya 2005-2010

Hilo halitawezekana. CHADEMA wana mpango wa kupata wagombea wao mapema kabisa, wapate muda wa kuwapiga msasa wajue wanaenda bungeni kufanya nini. Hawana mpango wa kusubiri makapi kutoka CCM. By the time CCM wanafanya michujo yao CHADEMA watakuwa tayari wanamgombea huko Kyela. Vilevile huyu jamaa ana beef kubwa na Zitto, sioni atajipenyezea wapi ndani ya chama. Hayo yanaweza kuwa ni matamanio ya watu wa Kyela lakini yeye mwenyewe Makyembe hatakuwa na mtazamo huo.

Kwani Zitto ndo CHADEMA??
 
Kauli ya Mzee Mwakyembe isichukuliwe kama kauli ya Mzaha ,tayari ameanza kuona joto ya jiwe na upepo wa mabadiliko juu yake unamuelemea ,na ndio ameana kutabiri nini kinawezekana kutokea kwa upande wake ,na kwamaana hiyo kama ilivyonukuliwa katika magazeti hivi juzi kuwa anahofia na maisha yake na amekuwa halali katika nyumba yake kwa hofu ya kuliwa na maduwi kwa mana hiyo kichwa cha Mwakyembe kimekuwa na thamani kama kichwa cha Sulema Rushid ,kwa tarifa yenu kauli yake sio mzaa au kama anataka aungwe mkono na wapiga kura zake ni kweli kabisa kwanza hapa Bara tayari amekuwa na maduwi wakutosha ambao wamo nadani ya chama chake anachokipenda na ukienda upande wa Kule Zanzibar tena hakusemeki kwani hawataki hata kumuona sura au kusikia jina lake linatajwa hilo linatokana na ile kauli yake ndani ya bunge alipowambia kuwa hawana adabu na watiwe adabu kauli ya kumwabia mtu mzima maneno kama yale kule zanzibar ni sawa na kumvuwa mtu nguo mbele ya wakweze na watoto wake wakiwa wapo mbele wanamuangalia,zaidi mkuu Mwakyembe kutokana na kauli zake za hivi karibuni zinaashiria siku zake zinahisabika za kuwa pamoja nasi ,vizuri ameligunduwa hilo na amesha utangazia uma lakini kufanya hivyo hakutomfanya asalimike ameponea chupu chupu mara ya kwanza lakini hakutokuwa na makosa kama hayo kwa mara ya pili watahakikisha jamaa wame----tena kwa hara sana. Mungu iweke mahali pema Roho ya Mzee Kolimba na wale wote watakao mfuata katika hali kama ile .
 
Naona pesa za mafisadi zimeshaanza kufanya kazi!

Tena kwa nguvu sana! na hao watetezi wa mafisadi wamemwagwa hapa kama njugu ili kuhakikisha wanafanya na kuyakamilisha madudu yao.
 
Peleka ujinga wako huko Machame kwa Wachaga na shemeji zenu. Ya kyela wewe huna haja nayo maana furaha yako ni kuona CHADEMA inashinda, unajidanganya bure!
wewe ni mtu hatari sana na ni mkabila sana.kuna ubaya gani CHADEMA ikishinda na aliyekuambia CHADEMA ni uchaga ni nani...For the first time hapa JF nadiriki kusema wewe ndo wa kuondoa ujinga wako hapa...sio kila post uchangie kama huna la maana kaa kimya...
 
sio maana yake mbunge awe chachu ya maendeleo.wala sio chembe za ufisadi.
Hoja ni kwambwa mh. yuko mbali na wapiga kura wake-habari ndio hiyo.

mdau,
lusungo ipinda kyela.
 
Mada yako Dr Cpa Kiuno, haina mbele wala nyuma.
Watendaji hao walifokewa kwa masuala gani?
Tunafahamu fika uozo uliopo katika utendaji wa baadhi ya wafanyakazi wa serikali.Ni kitu gani kina mshinda mtu kueleza kinagaubaga utendaji wa kazi yake.Mimi niliwahi kufanya kazi katika shirika moja la serikali lakini kwa utendaji wangu ulivyo kuwa makini hata mtendaji mkuu nilidiriki kumpa jibu la papo kwa papo kwa kujiamini, potelea mbali kama mtu akinifukuza kazi.
Watendaji kondoo ni tatizo kubwa sana katika utumishi wa umma hawajiamini na wanategemea huruma, hakuna huruma katika kutumikia wananchi kwa umakini na usahihi.
 
hawakawii kuchunana ngozi huko, kwani lazima wote muwe wanasiasa? hakuna kazi nyingine za kufanya
 
Muungwana hana sababu yeyote ya msingi ya kuendelea kumuweka Mwakipesile kule Mbeya. Lowassa ndiye aliyempandikiza kule kama mtu wake wa kumsafishia njia ya urais come 2015 lakini baada ya RICHMONDULI sioni scenario yeyote ya Lowassa kuteuliwa kugombea urais kwa tiketi ya CCM; viongozi wakuu wastaafu wameishanena kuwa mafisadi walijipenyeza na kupata uongozi huku wakiwa hawafai!! Maadam mambo yamekwisha mfika Lowassa sababu za kumuweka Mwakipesile awathibiti mahasimu wake hazipo; Muungwana atumie busara amuhamishe ili watu wa Mbeya wafanye kazi za maendeleo ili kuachia legacy urais wa Kikwete badala ya kupoteza muda katika malumbano yasiyo na tija.
 
Mheshimiwa Mwakyembe kaingia Kyela jana jioni na akaenda mpaka Ipinda, akakuta wale vijana wa kumshangilia hawapo tena. Baadhi ya vijana wakaanza kuimba mwogopeni huyo, ana mfupa wa Albino, kautoa Tabora.

Mkuu Sikonge, hatukutaki tena Kyela maana inaelekea huko Tabora kumbe mnaua Albino. Yaani siasa za Kyela ni usanii mkubwa. Watu tukacheka kidogo mbavu zipasuke.

Engineer,
Huo mfupa kaupata Tabora, ila haina maana ya kuwa lazima alikuwa Sikonge. Kwani unataka kusema Cha Rungwe mnajivunia nyie wa Kyela? Mbona mnausongo nyie kwa nyie hadi inaleta RAHA?

Halafu hii njia ya KUUWa Albino huko Kyela nilikuwa sifahamu kama ipo. Yaani mtu anaweka kichekesho kikali, watu wanacheka hadi mbavu almost zinataka kupasuka. Ila kama yupo ALBINO, mtu ambaye cells zake haziko kamili, hiki kicheko kinamuuwa, na wakali mnapata mifupa. Sasa haya yanatuhusu nini watu wa Sikonge? Pia vita ya ufisadi haipiganwi Sikonge maana huku Sikonge ni mie mwakani natesa. Kama kuna kipimbi kinafikiri kitashinda basi heri asipoteze muda. Nitamuwinda na kupata scandal zake zote na kuzianika. Kama mwashinda kwa kutumia mifupa ya albino, mie nitakuja na mfupa wa PREDATOR albino.
 
Je kuna mkono wa mafisadi kumpunguzia umaarufu wake?
Je Mwakipesile bado anadonge koono kwa kushindwa kwa ktk kura za maoni?
Rais JK yuko upande upi ktk hili
CCM mbeya hawakufurahishwa na ripoti ya kamati.


Naomba tu Nijibu haya maswali maana yamenikuna japo nimechelewa!
Hayo Mawili jibu ni ndiyo lazima iwe hivyo maana ADUI MWOMBEE NJAA!
l La nne JK naye yumo japo si yeye moja kwa moja maana yeye anafanya kazi zaidi na wale maswahiba wake. Hivyo ni lazima wamwangamize maana alimuumiza sana yule rafiki yake Lowasa. Nasema lazima mwaka huu au mwakani aone matokeo yake. LAKINI SIYO vizuri hata kidogo kwa mtumkubwa kama yeye kuwa katika makundi hadi leo tangu anasaka ukubwa.
CCM siyo wote ila wale tu walio upande wa mafisadi ndo hawakufurahushwa na Ripoti wengine walifurahi tu, SI UNAJUA bado hayo makundi yapo?
Hebu tuangalie Hii nchi, na hasa pale Ikulu wanatuletea mambo gani na wanaamua mambo yakutufaa kweli. Mbona hawakemei mabaya na wanatukuza WAHINDI!!!
 
Huu ni mtindio wa ubongo- mtu mwenye wadhifa kama huo hawezi kutamka kitu kama hicho-kwanza sio mzawa huyo ni burushi from rujewa.
Asitualibie Mbeya yetu.kwani Rais baada ya JK anatoka huko si mnajua au??????
 
utakuwa ni ujinga na upumbavu kumkimbia mtu kama kibaraka anayemtegemea siku zote kuendesha maisha yake kwa kumtegemea mtu anayejifanya engeneer na kufanya kazi nje ya nchi huku akiwandanganya wana kyela kwamba anao uwezo wa kuwaletea maendeleo,wakati hata kuzungumza hakuna mvuto,sijuwi hata ubunge huo kama watu wa watampatia je bungeni si atakuwa bubu kama alivyokwisha kuwa yule anayemtetea na kumtegemea kwa kampeni zake,ushauri wa bure ni bora akaendelea na kazi yake ya kupaka rangi tu huko wanakokuita majuu sisi wana kyela tutamuunga mkono kwa kazi yake hiyo ya kupaka rangi lakini si ubunge kama ndoto zake anavyozielekeza yeye.

hao akina kinanasi,kilumbu na mwammulinge si watu jobless kama unavyodhani wewe na ndio maana unaona wamefanikiwa kuikamata kyela mpaka kakundi kenu kanatishika nao na wanao uwezo wa kufanya lolote watakalo tofauti na matarajio yako,uwezo wanao,upeo wanao na nia na malengo wanayo ndugu acha upuuzi kama umekosa kazi nenda nawe kapake rangi huko majuu.
 
utakuwa ni ujinga na upumbavu kumkimbia mtu kama kibaraka anayemtegemea siku zote kuendesha maisha yake kwa kumtegemea mtu anayejifanya engeneer na kufanya kazi nje ya nchi huku akiwandanganya wana kyela kwamba anao uwezo wa kuwaletea maendeleo,wakati hata kuzungumza hakuna mvuto,sijuwi hata ubunge huo kama watu wa watampatia je bungeni si atakuwa bubu kama alivyokwisha kuwa yule anayemtetea na kumtegemea kwa kampeni zake,ushauri wa bure ni bora akaendelea na kazi yake ya kupaka rangi tu huko wanakokuita majuu sisi wana kyela tutamuunga mkono kwa kazi yake hiyo ya kupaka rangi lakini si ubunge kama ndoto zake anavyozielekeza yeye.

hao akina kinanasi,kilumbu na mwammulinge si watu jobless kama unavyodhani wewe na ndio maana unaona wamefanikiwa kuikamata kyela mpaka kakundi kenu kanatishika nao na wanao uwezo wa kufanya lolote watakalo tofauti na matarajio yako,uwezo wanao,upeo wanao na nia na malengo wanayo ndugu acha upuuzi kama umekosa kazi nenda nawe kapake rangi huko majuu.

Hapo juu ndio umeandika nini? Bora urudi kusoma tena maana inaelekea somo la kuandika lilikushinda.

Killumbu si ndiye kashindwa na mganga wa kienyeji kwenye mtaa wake?

karibu JF!
 
Bado tu jamani,mbona mwakalinga wa watu alishaacha jamani na juzi juzi tu amempigia simu mbuge wake na kuomba msamaha?
 
utakuwa ni ujinga na upumbavu kumkimbia mtu kama kibaraka anayemtegemea siku zote kuendesha maisha yake kwa kumtegemea mtu anayejifanya engeneer na kufanya kazi nje ya nchi huku akiwandanganya wana kyela kwamba anao uwezo wa kuwaletea maendeleo,wakati hata kuzungumza hakuna mvuto,sijuwi hata ubunge huo kama watu wa watampatia je bungeni si atakuwa bubu kama alivyokwisha kuwa yule anayemtetea na kumtegemea kwa kampeni zake,ushauri wa bure ni bora akaendelea na kazi yake ya kupaka rangi tu huko wanakokuita majuu sisi wana kyela tutamuunga mkono kwa kazi yake hiyo ya kupaka rangi lakini si ubunge kama ndoto zake anavyozielekeza yeye.

hao akina kinanasi,kilumbu na mwammulinge si watu jobless kama unavyodhani wewe na ndio maana unaona wamefanikiwa kuikamata kyela mpaka kakundi kenu kanatishika nao na wanao uwezo wa kufanya lolote watakalo tofauti na matarajio yako,uwezo wanao,upeo wanao na nia na malengo wanayo ndugu acha upuuzi kama umekosa kazi nenda nawe kapake rangi huko majuu.
.

Hili Jinga limetokea wapi tena?Nenda darasan,haujachelewa baado.
 
Toa ujinga wako hapa,Huo ushauri wako kawape watu wa kijiji chako ambao hawajuhi nini maana ya demokrasi...Hawa wachunga ngombe naona wameanza kujaa hapa

Punguza hasira mwakalinga, huu ubunge hadi unataka kuua watu?Q
 
Mkuu Jile,
Fungua macho kijana. Kwa taarifa yako wanaosoma humu JF, nusu yao wako nje ya Tanzania. Katika hiyo nusu iliyobaki 4/5 wako miji mikubwa kama Dar, Arusha, Dodoma, Mwanza na Mbeya. Na hiyo 1/5 ni miji midogomidogo kama Sikonge na Kyela. Sasa uwezekano wa watu wa Kyela kusoma au kusikia haya maneno yako ni mdogo saana.

Lazima nikusifu kwa habari yako nzuri saana na iliyojaa busara za hali ya juu. Nakubaliana na wewe kabisa kuwa MWAKALINGA ANATUMIWA NA MAFISADI. Ila kuna jambo moja sijui kama ulishawahi kulisikia. Wote humu ndani ya JF wanafahamu kuwa "Mamvi alimchoresha mama yako 7". Kwa hiyo Mkuu, Mama yako na Mwakalinga wote mwaajiri wao ni mmoja, huu wivu wa nini? Mama yako apata mgawo wake na Mwakalinga apata mgawo wako. Kama hazitoshi, nenda na wewe ukajiandikishe.

NB: Milele ukumbuke kuwa majina ya miji yanaanza kwa herufi kubwa.

Mamvi alimchoresha 7 mama ya mwanachama wa JF?
 
Back
Top Bottom