Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
Nimeambiwa Mama Mkapa anawaambia watu wameshandaa fedha za kutosha kumng'oa Kimario kule Moshi. Lisemwalo lipo na mafisadi hawalali.
Tutasikia mengi kabla ya 2010!
Nimeambiwa Mama Mkapa anawaambia watu wameshandaa fedha za kutosha kumng'oa Kimario kule Moshi. Lisemwalo lipo na mafisadi hawalali.
BAK una akili sana, usije owa mzungu huku tunakuhitaji Tanzania yenye mabadiliko!
mhhhh hivi kyela hakuna maji na umeme?au nimesoma vibaya post yako mkuuWatu wa kyela tunataka huduma bora km maji.afya ,barabara na umeme ambao mh. umeshindwa kuleta,kazi yako kupiga kelele kwenye magazeti-hakika uchaguzi ujao upati kura hata kidogo-endelelea na richmond yako.
tunaitaji mbadala,ona mfano wa mwenzako mark mwandosya yeye amefanya vizuri sana jimboni kwake.
mdau,
Lusungo Ipinda Kyela.
Watu wa kyela tunataka huduma bora km maji.afya ,barabara na umeme ambao mh. umeshindwa kuleta,kazi yako kupiga kelele kwenye magazeti-hakika uchaguzi ujao upati kura hata kidogo-endelelea na richmond yako.
tunaitaji mbadala,ona mfano wa mwenzako mark mwandosya yeye amefanya vizuri sana jimboni kwake.
mdau,
Lusungo Ipinda Kyela.
Watu wa kyela tunataka huduma bora km maji.afya ,barabara na umeme ambao mh. umeshindwa kuleta,kazi yako kupiga kelele kwenye magazeti-hakika uchaguzi ujao upati kura hata kidogo-endelelea na richmond yako.
tunaitaji mbadala,ona mfano wa mwenzako mark mwandosya yeye amefanya vizuri sana jimboni kwake.
mdau,
Lusungo Ipinda Kyela.
Mkuu Masanilo hata round sitachukua wataishia kunibalali au watanikolimba. Yanaudhi sana yanayoendela nchini mwetu. Rwanda wameuana kwa maelfu 1994 sasa hivi nchi yao inafanya vizuri kuliko sisi wenye "amani" ya milele na Wanyarwanda wanafurahia uongozi wa nchi yao maana wanaona mabadiliko ya kweli. Sisi mhhhhhh! usanii tu kila kukicha!
Mwakyembe anaiandaa jamii ili akibwagwa hapo mwakani (kitu ambacho sasa ni very possible) awe na sababu ya kutokea. Huenda pia anaandaa mazingira ya kuhamia CHADEMA akishindwa kwenye mchujo wa CCM (hili jambo linaongelewa sana Kyela kwamba ana mpango huo).
Hilo halitawezekana. CHADEMA wana mpango wa kupata wagombea wao mapema kabisa, wapate muda wa kuwapiga msasa wajue wanaenda bungeni kufanya nini. Hawana mpango wa kusubiri makapi kutoka CCM. By the time CCM wanafanya michujo yao CHADEMA watakuwa tayari wanamgombea huko Kyela. Vilevile huyu jamaa ana beef kubwa na Zitto, sioni atajipenyezea wapi ndani ya chama. Hayo yanaweza kuwa ni matamanio ya watu wa Kyela lakini yeye mwenyewe Makyembe hatakuwa na mtazamo huo.
inaelekea watu wa kyela mnataka kufanana na wapemba, kuna mbunge mmoja wa zanzibar simkumbuki jina aliwahi kusema wananchi wa jimboni kwake wanataka kila shughuri lazima wamhusishe mbunge, mtoto anaumwa wanataka hela kwa mbunge, kuna msiba, njaa chakula awape mbunge!!!!!! sasa huyo mbunge atakuwa na shuhuri ngapi??? wakyela kuweni na busara kwa mwenzeni anayejitoa kwa ajili yenu
Upo sawa kabisa mkuu wanyakyusa wengi wa kyela ni wavivu wanataka kila kitu wafanyiwe, mfano mtu ana mkewe na watoto wakiugua anataka asaidiwe au anaweza funga safari kufata msaada ambao ile nauli anayotumia ingetosha kutatua tatizo hilo. Na asiposaidiwa ndiyo anaanza kukutangaza kwa wengine kuwa u mbaya , so mwakwembe asilaumiwe sana maana hata kama ana mipango mizuri ya kuwasaidia watu wa huko atafanyeje kama watu wenyewe hawako tayari? Cha msingi watu wa kyela tubadilike wenyewe kwanza na tusiwe watu wa kulalamika sana. Tufanye kazi kwa bidii kama tunavyopenda kuwa nadhifu!
Nyumbu,
Inawezekana hapo juu uko sahihi. Matendo ya Mwakyembe hapa Kyela ndiyo yanafanya watu wengi waamini anataka kuhamia CHADEMA. Anawafadhili sana vijana wa CHADEMA hapa, lakini huenda ni kwasababu anataka wamsaidie kwenye chaguzi za CCM. Pia hilo la Zitto ni ukweli mtupu. Ila Mwakyembe anaelewana na Mbowe, lakini nafikiri kumuuza Mwakyembe CHADEMA itakuwa ngumu sana maana wasomi wengi wa CHADEMA wanamwelewa Mwakyembe na madudu yake alipokuwa UDSM.
Pia sasa kawatumia hao vijana wa CHADEMA ili waandike barua kwa mkuu wa wilaya na mkurugenzi wa maendeleo wa wilaya kumlalamikia Mwenyekiti wa UVCCM eti kwanini ni mwenyekiti wa UVCCM na huku ni daktari wa hospitali ya serikali? Hayo malalamiko tayari yameshatinga ofisini na baadhi ya vijana wametoa siri kwamba mbunge ndio kawashauri wafanye hivyo.
Mwezi wa nane alitumia wazee wa kijiji kimoja walalamike kwamba ndugu yao aliyepata ajali ya pikipiki alikufa eti kwasababu dr wa hospitali ya Ipinda ambaye ndiye mwenyekiti wa UVCCM hakuwepo kazini, alikuwa ameenda kumpigia kampeni Mwakalinga. Mkurugenzi wa wilaya alivyochunguza akagundua kwanza Mwakalinga alikuwa ameondoka Kyela siku moja kabla ya ajali ya huyo jamaa na pia hospitali ilikuwa na daktari wa zamu maana ajali ilitokea usiku. Kikubwa hospitali ya Ipinda haina vifaa wala usafiri hivyo ilibidi jamaa akimbizwe Kyela na ndio akafariki njiani. Zaidi wakagundua waliolalamika wala sio ndugu wa marehemu. Walipobanwa wakatoa siri kwamba mbunge aliwalipa pesa na kuwapa ushauri ili walalamike.
Mwakyembe ni bingwa wa siasa za majungu na unafiki Kyela. Bahati tumemgundua na hatumwachii. Wacha akina BAK waendelee kumpigia makofi kichaa.
Usituletee siasa zako laini hapa mkuu, yaani kwa mtindo huu sijui kama kweli hili jamvi limekunufaisha ilivyokusudiwa, Kyela oyeee!
Amani
Watu wa kyela tunataka huduma bora km maji.afya ,barabara na umeme ambao mh. umeshindwa kuleta,kazi yako kupiga kelele kwenye magazeti-hakika uchaguzi ujao upati kura hata kidogo-endelelea na richmond yako.
tunaitaji mbadala,ona mfano wa mwenzako mark mwandosya yeye amefanya vizuri sana jimboni kwake.
mdau,
Lusungo Ipinda Kyela.
Peleka ujinga wako huko Machame kwa Wachaga na shemeji zenu. Ya kyela wewe huna haja nayo maana furaha yako ni kuona CHADEMA inashinda, unajidanganya bure!