Siasa za Mbeya 2005-2010


Gwamaka,

Huyo Masanilo asikubabaishe, mimi namfahamu maana nimewahi kuishi naye karibu huko Norway.

Sitaki kusema mengi ya kwake maana asije akaumbuka bure hapa.
 
Gwamaka,

Huyo Masanilo asikubabaishe, mimi namfahamu maana nimewahi kuishi naye karibu huko Norway.

Sitaki kusema mengi ya kwake maana asije akaumbuka bure hapa.

Bapumbile

Nimekuruhusu sema chochote juu yangu, na karibu Kyela ila kesho nitakuwa kijijini Njisi! Nitarudi Kyela Mjini J5 nitalala Pattaya Hotel ama pale jirani Makete half London Guest House.
 
Bapumbile

Nimekuruhusu sema chochote juu yangu, na karibu Kyela ila kesho nitakuwa kijijini Njisi! Niatrudi Kyela Mjini J5 nitalala Pattaya Hotel ama pale jirani Makete half London Guest House.

Wewe sio wa Kyela angalia hata guests unazoongelea, ni zile za miaka ya 90. Siku hizi Kyela ina nyumba za maana hasa.

Vipi mitaa ya Oslo hapo mnaendeleaje? Hilo baridi litakuua mkuu, tuachie Kyela yetu tujidai. heri wengine tuliwahi kurudi nyumbani baada ya shule.
 

Bapumbile

Hujui kama za Kale dhahabu! umeshindwa kusema uliyonuia unaleta hadithi za alinacha.....Oslo wee nitafute Njisi kesho ama J5 nitakuwa mjini,



Unapajua hapa?
 

Margreth,

Soma habari hii nyingine hapa chini ya huyo Mwandishi wenu Mwanakatwe, halafu niambie kama huyu ana report habari au anapika habari. Huyo huyo ndiye kaandika habari mbili tunazozijadili katika thread hii.

 
Duh! hii vita ya Mwakyembe na mwakalingan bado tu inaendelea!... ama kweli hawa jamaa hawapendani na mwisho wa yote tutasema hawaitendei haki Kyela!
 
Haya mambo ya siasa za Kyela yanakwamisha hata Maendeleo ya wananchi wa Kyela...Ugomvi wa mashamba ya Kajunjumele ndio chanzo cha kuondolewa Ukuu wa wilaya kwa Ndg Mashimba Hussein Mashimba.Mkuu wa Wilaya huyo alitofautiana mawazo na Mbunge wake matokeo yake ikawa ni kutunishiana misuli na kuonyeshana nani zaidi ya mwingine na matokeo yake ni kwamba Mkuu wa Wilaya akaondolewa kazi katika mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya.Wananchi wengi wa Kyela ikiwa ni pamoja na Wafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo walijaribu kufuatilia bila mafanikio kujua nini chanzo cha Mkuu wa wilaya hiyo kuondolewa..Mkuu wa Mkoa pamoja na baadhi ya watu wa Ofisi ya Waziri Mkuu pia walishangazwa,kwani Mashimba alikuwa kijana na ni mmoja kati ya Wakuu wa Wilaya wachache waliokuwa makini katika kazi zao...Sio alibadilishwa kituo...Ndg Mashimba aliondolewa kabisa katika orodha ya Wakuu wa Wilaya.

Ndugu zangu wana-kyela tuwe waangalifu hizi siasa za mashambulizi ya watu binafsi hazitotufikisha mbali....Tujiunge katika umoja wetu na tuangalie maendeleo ya Jimbo kwanza.Yule mtu wa Ipinda asiwe na shaka kwenda Itope na yule wa Kajunjumele awe huru kutembelea Ndandalo,hiyo ndiyo Kyela tunayoitaka na tuliyoizoea!
 

Mkuu Mwawado,

Asante kwa ujumbe wako maana hata mimi umenifungua macho kwenye fumbo lililokuwa linanisumbua muda mrefu.

Nilikuwa katika waliomtetea Mashimba muda mfupi baada ya kuondolewa na sababu kubwa ilikuwa kwa muda mfupi nilomfahamu jamaa alikuwa mchapa kazi. Ndio pia alikuwa na udhaifu wake mdodo mdogo lakini huwezi kubeza utendaji wa Mashimba kwa Kyela hasa upande wa maendeleo.

Bahati mbaya Watanzania tunapenda blaah! blaah! na mara nyingi watu kama akina Mashimba tunawaona wabaya kwasababu wanafuatilia kila kitu.

Mwandishi wa hii makala anongelea prof Sarungi na wakati huo huo anamtuhumu Mashimba. Hawa ni viongozi ambao walikuwa madarakani wakati tofauti. Sarungi alikuwa waziri kabla ya 2006 wakati Mashimba alikuwa mkuu wa wilaya kuanzia katikati ya 2006.

Mengine yote uliyoysema ndio ukweli mtupu. Kyela inahitaji umoja na sio haya mambo ya magazetini kila siku na vijembe. Ifike mahali tuwape nafasi wananchi kuhangaika na shida za kila siku badala ya kila siku kujikusanya vijiweni kujadili kijembe gani kimetokea leo.

Mkuu wa Majeshi ni kaka yetu kutoka Kyela; hili tatizo la mashamba lingeweza kushughulikiwa kwa njia bora kabisa badala ya kulaumiana sisi wenyewe kupitia magazetini. Naamini kila jambo lina solution hata kama ni gumu kiasi gani. Jeshi wana haki na hayo mashamba ila pia kunaweza kutumika busara ili kwa wakati huu ambao jeshi hawayatumii kwa mambo ya maana basi wananchi waazimishwe na kulima mazao ya muda mfupi kama mpunga. Kuwaambia wananchi hayo ni mashamba yenu, kayachukueni, haikuwa busara kabisa. Hapo wanamponza hata kaka yetu Mwamunyange maana inaanza kuonekana ni yeye against wana Kyela wenzake wakati sio kweli kabisa.
 

Bambumbile,

Mbona nilishaandika hapa? Huyo sio kwa Kyela ila yuko Marekani. Na matatizo ya wivu kama ndugu yake Shalom na ndio maana mimi nawaita
masanilo aka Shalom aka Ze Comedy.

Jamaa kazi yake ni kujifanya anajuana na watu kwenye system wakati hakuna lolote. Ni msanii tu.

Mawivu yamemjaa kuona wenzake wanafanya yale ambayo yeye yamemshinda.

Watu kama hao niachie mimi au hata Sikonge naye anamweza.
 
Engineer

Habari yako bwana, nisaidie nilipo, ni Olso ama US, Texas! Unaninyima hata uraia wa jamhuri ya Kyela!!!....Kesho nitakuwa mjini hapo njoo Makete Half London unaweza pata beer za buree hahahaha!
 
TAHADHARI KWA WANAKYELA!
Umasiki na ujinga ndio mambo amabayo waliobahatika ama kupata elimu au kuwa matajiri wanayatumia kwa manufaa yao kasiasa au kiuchumi.Wanakyela wanaweza kufikiri wanampinga mwakyembe au wanampinga mwakalinga kumbe kuna matajili jambo nyuma yao mwalinga anatumiwa na masadi ili kumdhoofisha na hatimae kumwondoa dr.mwakyembe hili halina ubishi na kama hamuamini wanakyela mtajikuta mnagombanishwa na watu kutoka arusha,kilimanjaro,tabora n.k bila kujua.Kitakacho wauwa ni ushabiki wa kisiasa msikubali,pesa chukueni kaneni maana wanarudisha walichowaibia.Msikubali kudharirishwa kiasi hiki kwamba kati ya watanzania wote wanakyela tu mnaweza kununuliwa kwa gharama ndogo kiasa hiki na kusahau utu wenu.Nawaheshimu sana ila nawaomba msikubali kurubuniwa imepitwa na wakati kwa pamoja tuseme sasa basi imetosha............
Inawezekana msiamini lakini huo ndio ukweli...............
 

Toa ujinga wako hapa,Huo ushauri wako kawape watu wa kijiji chako ambao hawajuhi nini maana ya demokrasi...Hawa wachunga ngombe naona wameanza kujaa hapa
 

Mkuu Jile,
Fungua macho kijana. Kwa taarifa yako wanaosoma humu JF, nusu yao wako nje ya Tanzania. Katika hiyo nusu iliyobaki 4/5 wako miji mikubwa kama Dar, Arusha, Dodoma, Mwanza na Mbeya. Na hiyo 1/5 ni miji midogomidogo kama Sikonge na Kyela. Sasa uwezekano wa watu wa Kyela kusoma au kusikia haya maneno yako ni mdogo saana.

Lazima nikusifu kwa habari yako nzuri saana na iliyojaa busara za hali ya juu. Nakubaliana na wewe kabisa kuwa MWAKALINGA ANATUMIWA NA MAFISADI. Ila kuna jambo moja sijui kama ulishawahi kulisikia. Wote humu ndani ya JF wanafahamu kuwa "Mamvi alimchoresha mama yako 7". Kwa hiyo Mkuu, Mama yako na Mwakalinga wote mwaajiri wao ni mmoja, huu wivu wa nini? Mama yako apata mgawo wake na Mwakalinga apata mgawo wako. Kama hazitoshi, nenda na wewe ukajiandikishe.

NB: Milele ukumbuke kuwa majina ya miji yanaanza kwa herufi kubwa.
 

Jifunze kuandika kwanza ndio uje hapa
 

Mhandisi,
Na heshima zote lazima nikuambie kuwa Shalom na Masanilo ni watu wawili tofauti. Shalom ni Mnyakyusa na Masanilo ni Msukuma. Mengine yote nawaachieni wenyewe ila nilitaka kukusaidia kwa hilo tu.
 
Sahihisho, mimi ni Msukuma mazee! wanyakyusa ni shemeji zangu

Masa
Kumbe wewe ni shemeji yetu? Please Masa mbona wewe unapendelea shemeji mmoja tu?Mwakalinga naye si shemeji yako.Mbona unamwandama sana ,Mwakalinga naye ana ndugu zake wengi wako Mwanza.
 
Masa
Kumbe wewe ni shemeji yetu? Please Masa mbona wewe unapendelea shemeji mmoja tu?Mwakalinga naye si shemeji yako.Mbona unamwandama sana ,Mwakalinga naye ana ndugu zake wengi wako Mwanza.

Hahaha

Jamani ni mambo ya siasa haya msisabaishe nikose kipenzi changu Sekelaga! hahahaha nimecheka sana mkuu......simwandami wala nini nasikitika hujanisoma ndugu yangu. Mbona GAM yeye amenielewa! Vita imetangazwa Masanilo na Engineer, huyu rafiki yangu mhandisi wa Kyela mimi huwa namwita boga yeye anapenda aendelee kuwa kiazi tu kwa nia nzuri wala si kumtusi hahahaha!
 
engineer wa majungu ya ukweli mkuu,wanakyela wamesha mstukia kuwa ni mamluki katumwa na mafisadi na kapewa minoti kufa mtu.......
Engineer wa majungu!

Kuwa mtu mzima kidogo basi, stop lamenting and crying like a little high school girl.....wengine sisi tunakujua wewe kama ni kishoka tu huna mbele wala nyuma...uko kama saa mbovu, either utakuwa mbele ya muda ama nyuma.
 
jamani bado tu mnae mamluki?? hamumwachii hata kidogo...kazi kweli hapo.
 
Afadhali hata wengine wameanza kuona ukweli:



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…