Tambua kuwa,huyo ni Chief wa Machief woooote,Tanzania.Sio mtu wa mchezo kabisa.Na hao wazungu hawajatambua hilo.Tour guide siyo tusi. Ni kazi mtu anayoifanya, sawa na Nyerere alivyoitwa Mwalimu Nyerere. Na hakuna sheria inazuia mtu kuwa na titles mbalimbali kwa kkuwa ni haki yake.
Acheni kutafuta giza kwenye nuru.
Tupa jiwe wakati na mahala sahihi.