Si lazima Serikali ifuate Waraka wa TEC au BAKWATA

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,177
7,750
Serikali kamwe haiwezi kuendeshwa kwa waraka wa TEC wala BAKWATA.

Kila mwananchi anayo haki ya kutoa maoni yake lakini sio lazima kila maoni yafuatwe.

TEC imetoa waraka wake pia BAKWATA inaweza pia kutoa waraka wake lakini sio lazima Serikali ifuate waraka huo.

Jambo la msingi vyombo hivi vya kidini TEC na BAKWATA visijiingize kwenye siasa kwani kufanya hivyo vitawavuruga wananchi.

Taifa hili ni la watanzania wote tuache chokochoko.

Tunamuomba Rais wetu ashikilie hapohapo kamwe asikubali kuyumba wala kuyumbishwa na wanafiki wachache.

Mimi ni RC lakini sikubaliani na waraka wa Baraza kwasababu lengo lake ni kuwagonganisha vichwa watanzania, siungi mkono UNAFIKI na ufitinishaji.

Kwenye suala hili la waraka nasimama na Nchi yangu Tanzania na ninaunga msimamo wa Serikali. Siwezi kufuata unafiki.

Jana nilikuwepo kanisani na nilosikiliza kwa makini waraka uliposomwa, sikuona ulazima wa Baraza kufanya hivyo zaidi ya kueneza chuki na mitafaruku jambo ambalo sio Zuri kwa taifa letu.

Lengo la waraka sio kukosoa au kutoa maoni bali lengo ni kuivuruga Serikali na wananchi.
tunaishauri serikali isikubali kuyumba wala kuyumbishwa na UNAFIKI.

Mwisho nasisitiza na kutoa angalizo, hii tabia ya Baraza kutoa waraka yenye lengo la kuvuruga umoja na mshikamano wa Taifa letu isipo kemewa ndani basi itabomoa misingi ya umoja na mshikamano wa nchi yetu.
 
Hizi Taasisi za kidini zinasimamia mali za Wananchi na Serikali inaamini mali ni zake wanaweza kufanya kitu chochote bila hata kushirikisha Wananchi kwa faida ya uzao wao sio vizazi vya Watanzania...
 
Serikali kamwe haiwezi kuendeshwa kwa waraka wa TEC wala BAKWATA.
Kila mwananchi anayo haki ya kutoa maoni yake lakini sio lazima kila maoni yafuatwe.

TEC imetoa waraka wake pia BAKWATA inaweza pia kutoa waraka wake lakini sio lazima Serikali ifuate waraka huo.

Jambo la msingi vyombo hivi vya kidini TEC na BAKWATA visijiingize kwenye siasa kwani kufanya hivyo vitawavuruga wananchi.
Taifa hili ni la watanzania wote tuache chokochoko.

Tunamuomba Rais wetu ashikilie hapohapo kamwe asikubali kuyumba wala kuyumbishwa na wanafiki wachache.
Nakumbuka kesi alizopewa Yesu alipokuwa akitangaza Injili.
1. Uhaini kwa kujitangaza kuwa yeye ni Mfalme
2.Kukataza Watu wasilipe kodi
3.Kufanya fujo Sokoni na Uchochezi

Alipatikana na hatia na akahukumiwa apigwe mpaka afe na atundikwe Msalaba ni.

Mbona kesi kama zinaenda sawa na Bongo .Unajua tunaweza kuwa tupo Israel halafu hatujijui . Aaaaaahaaaaa
 
Masheikh walitoa msimamo wao mapema kabisa. Mbona hukukemea?
Mimi ni RC lakini sikubaliani na waraka wa Baraza kwasababu lengo lake ni kuwagonganisha vichwa watanzania, siungi mkono UNAFIKI na ufitinishaji
Kwenye suala hili la waraka nasimama na Nchi yangu Tanzania na ninaunga msimamo wa Serikali. Siwezi kufuata unafiki.
Jana nilikuwepo kabisani na nilosikiliza kwa makini waraka uliposomwa, sikuona ulazima wa Baraza kufanya hivyo zaidi ya kueneza chuki na mitafaruku jambo ambalo sio Zuri kwa taifa letu.
 
Mimi ni RC lakini sikubaliani na waraka wa Baraza kwasababu lengo lake ni kuwagonganisha vichwa watanzania, siungi mkono UNAFIKI na ufitinishaji
Kwenye suala hili la waraka nasimama na Nchi yangu Tanzania na ninaunga msimamo wa Serikali. Siwezi kufuata unafiki.
Jana nilikuwepo kabisani na nilosikiliza kwa makini waraka uliposomwa, sikuona ulazima wa Baraza kufanya hivyo zaidi ya kueneza chuki na mitafaruku jambo ambalo sio Zuri kwa taifa letu.
Haya ndio majibu ya swali langu mkuu?
 
Mimi ni RC lakini sikubaliani na waraka wa Baraza kwasababu lengo lake ni kuwagonganisha vichwa watanzania, siungi mkono UNAFIKI na ufitinishaji
Kwenye suala hili la waraka nasimama na Nchi yangu Tanzania na ninaunga msimamo wa Serikali. Siwezi kufuata unafiki.
Jana nilikuwepo kabisani na nilosikiliza kwa makini waraka uliposomwa, sikuona ulazima wa Baraza kufanya hivyo zaidi ya kueneza chuki na mitafaruku jambo ambalo sio Zuri kwa taifa letu.
Haya ndio majibu ya swali langu mkuu?
 
Kama wenyemali/wananchi hawataki mkataba, serikali haina uhalali wa kung'ang'ania jambo hilo. Sheria ya kinga tutaifuta tuwapeleke mahakamani kama nchi nyingine. Hatutaki uswahili.
 
Mimi ni RC lakini sikubaliani na waraka wa Baraza kwasababu lengo lake ni kuwagonganisha vichwa watanzania, siungi mkono UNAFIKI na ufitinishaji
Kwenye suala hili la waraka nasimama na Nchi yangu Tanzania na ninaunga msimamo wa Serikali. Siwezi kufuata unafiki.
Jana nilikuwepo kabisani na nilosikiliza kwa makini waraka uliposomwa, sikuona ulazima wa Baraza kufanya hivyo zaidi ya kueneza chuki na mitafaruku jambo ambalo sio Zuri kwa taifa letu.
Wewe siyo Rc na wala haujasikiliza waraka wa Tec usidanganye kadamnasi bhana.

Kukataa mikataba ya kinyonyaji ni kuchonganisha wananchi na Serika, ona huyu naye!

Jenga hoja zenye mantiki ya kukubalika kuhusu ubora wa mkatana wa Dpw acha upotoshaji.

Kama wewe ni mlamba matako kaa na umamuma wako usifikiri raia wote ni wapumbafu.
 
Kufuatia TEC kutoa waraka wa kupinga uwekezaji wa DP katika bandari yetu.

1. Serikali inapaswa isimamie msimamo wake kwa masilahi mapana ya Taifa letu.

2. Wabunge wetu ambao ndio wawakilishi wa wananchi tayari walishapitisha makubaliano hayo na kuridhia mchakato uendelee.

Hatua hii iliyo fanywa na chombo chetu cha Bunge letu tukufu ni muhimu na inapaswa iheshimiwe na kila mtu na kila taasisi.

3. Serikali yetu inaongozwa na mihimili mikuu mitatu;
Baraza
Bunge na
Mahakama. Sio TEC wala BAKWATA.

Uwekezaji wa DPw unabaraka zote kutoka kwenye Baraza, Bunge na hata Mahakama, sasa TEC ni zaidi ya vyombo hivyo?!

TEC au BAKWATA sio miongoni mwa mihimili ya Serikali, hivyo tusiruhusi baadhi ya watu kutumia taasisi hizo za kidini kupenyeza hoja zao kwa mgongo wa dini.
Serikali isikubali kuendeshwa na taasisi hizo za kidi, kamwe tusikubali kuyumba wala kuyumbishwa.

Narudia tena kusema Serikali ina mihimili mitatu (3)

1. BARAZA/ Executive

2. BUNGE

3. MAHAKAMA

Hauna chombo kingine hapo. hakuna TEC, BAKWATA wala KKKT
 
Back
Top Bottom