Si lazima Serikali ifuate Waraka wa TEC au BAKWATA

Kufuatia TEC kutoa waraka wa kupinga uwekezaji wa DP katika bandari yetu.

1. Serikali inapaswa isimamie msimamo wake kwa masilahi mapana ya Taifa letu.

2. Wabunge wetu ambao ndio wawakilishi wa wananchi tayari walishapitisha makubaliano hayo na kuridhia mchakato uendelee.

Hatua hii iliyo fanywa na chombo chetu cha Bunge letu tukufu ni muhimu na inapaswa iheshimiwe na kila mtu na kila taasisi.

3. Serikali yetu inaongozwa na mihimili mikuu mitatu;
Baraza
Bunge na
Mahakama. Sio TEC wala BAKWATA.

TEC au BAKWATA sio miongoni mwa mihimili ya Serikali, hivyo tusiruhusi baadhi ya watu kutumia taasisi hizo za kidini kupenyeza mambo makubwa ya Kiserikali, Serikali isikubali kuendeshwa na taasisi hizo za kidi, kamwe tusikubali kuyumba wala kuyumbishwa.
Exactly,tech ni wapuuz
 
Ccm ni ile ile.
Wanasema Vatican ndo majasusi wa kidunia.
Rais alienda kutana na viongozi wote wa dini.
Ghafla Dr.Slaa akasema kupindua nchi.
Akakamatwa.
Waraka wa wale waliokaa na Rais ukatolewa hasa na TEC .
Ghafla ishu ya Bandari inakaa kidini na sio kiupinzani Tena.
Ghafla Rais anasema hakuna mwenye ubavu.
Inawezekana CCM wanatuchezea eti!
Hii ajenda ya Bandari huenda imepitishwa hapa tunachezewa..
 
Back
Top Bottom