Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,650
Kila mwanadamu ana akili, ila tumezidiana.Kwa hio mkuu wewe huna akili?
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Kila mwanadamu ana akili, ila tumezidiana.Kwa hio mkuu wewe huna akili?
Kwa hio wazungu wamekuzidi akili? Jibu ndio au hapana.Kila mwanadamu ana akili, ila tumezidiana.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Ndio wazungu wametuzidi akili, unabisha?,Kwa hio wazungu wamekuzidi akili? Jibu ndio au hapana.
Wakl juu ya waafrika wote. Mengine ni kujifariji tu. Ungekuwa na akili kuwazidi wewe usingeweka rehani maisha yako, kwani sasa hivi wao ndio wanaamua mwanadamu aishi vipi, wengine wenu ni kutoa fotokopi tu. Wao ndio wanao set standards mengin yote ubishi tuKwa hio wazungu wamekuzidi akili? Jibu ndio au hapana.
ustaarabu duniani umeanzia Afrika.mtu tajiri zaidi duniani mpaka Leo ni mwafrika.mtu aliyegundua uyeyushaji wa vyuma ni mwafrika,mtu wa kwanza kujenga majengo makubwa ni mwafrika angalia yale mapiramidi ya misri yalijengwa na wamisri weusi.chuo kikuu cha kwanza kilikuwa Africa.Fanya utafiti kabla ya kuongeaHuu ni uwongo wa mchana kweupe. Labda kama unazungumzia waarabu wanaoishi kaskazini mwa Afrika. Lakini mwafrika halisi karne ya 15 alikuwa anaishi kama wahadzabe kwa kuwinda, kuchimba mizizi na kuokota matunda na kuvaa ngozi au magome.
Wakati wenzetu tangu enzi za Yesu wanatengeneza nguo, viatu, magari ya kukokotwa na farasi, mashua, nyavu za kuvulia samaki, wanajenga majengo ya kifahari, wanasoma na kuandika, wana shule na wataalamu waliosomea taaluma husika Mfano Luka aliyeandika Injili alikuwa Daktari. Tafta yutube "Hagia sophia" kanisa lililojengwa karne ya 6 pale Istambul alafu uje uniambie mwafrika gani alikuwa na akili kama hiyo enzi hizo au hadi karne ya 15.