Si kweli Mzungu ana akili kuliko mtu Mweusi

Umemponda mzungu kisha mwisho kabisa ukamalizia kwa kutumia lugha yake ya Kiingereza! huoni kua hata wewe ndio wale wale tu wanaomthamini mzungu na kumuona ni bora zaidi ya wengine?
 
ACHENI UPUMBAVU WA KUJIDHARAU WAAFRIKA, UNAJUA HATA WAAFRIKA AMBAO UNAWAONA SASA HIVI NI THE GREAT KAMA KINA SAMORA MASHELI, KINA IDDI AMINI, NYERERE, KINA KWAME, WANGEKUA NA MITAZAMO YA KUJIDHARAU KAMA KIZAZI CHA SASA HIVI KILIVO WENDA HATA UHURU TUSINGE PATA.
 
Nimewaza tu..
1969 miaka 8 baada ya Uhuru wetu kuna pahala walienda Mwezini.
1837 Kuna Pahala walianza pilika za gunduzi za Electric Locomotive.Baada ya kuchoka na Makaa ya Mawe na Kelo za Moshi.
1945 Kuna watu waliipigwa kwa bomu la Nyuklia.
Huko koote ipo mifano hai mingi mno.Kuna Sehemu waafrika walikuwepo kutekeleza majukumu ya watu weupe.
Licha ya Visingizo vya Biashara za Utumwa na mengine mengi.

Kuna kama Kina Malcom X..Luther Jr.Hawa walionesha ushupavu wa matumizi stahiki kwa watu weupe japo walipata Misuko suko mingi.Lakini mingi ikiwa kupingwa na hasa wenzao ambao wanasema kuwa walikuwa Corrupted.

Wakati wa Germans wanamuua Mange Mel kule juu Moshi baadae waligundua kuwa haikuwa njia sahihi maana kati yet watu weusi kuna waliompinga Chief vibaya mno na ndio wakawa wasaliti wakubwa sana.

Si kwamba MIMI Mwafrika sina Akili.No..nazitumia kufanya nini?Tunawaza sana tunaishia kusema kuwa Wazungu wametunyonya na kutudhoofisha.Huwa hatutoki ndani ya hizo sababu siku zote.

Ethopia haikuwa Kutawaliwa..ila ndio Nchi inaongoza kutoa wakimbizi wengi sana kwa sasa kuhama Nchi hiyo kutafuta Maisha kwa Watu weupe.

Baada ya kupata Elimu ya Mnyoyaji Mweupe tumeitumiaje?Nini Tunafanya?

Kuna tatizo katika matumizi yetu ya Ufahamu na Maendeleo.
 
Mindset za watu Kama Mtoa Mada ndio kikwazo kikubwa kwa mtu mweusi, tuna tatizo kama weusi, lakini tupo bize kufanya cover up na kujifariji.

Eti utumwa ni coincidence! Mtu mmoja mweupe ailweza Kutoka na kulidhibiti kundi kubwa la watumwa Kutoka Tabora hadi bagamoyo!! Lazima tujiulize tunafeli wapi kama weusi, ila trust me hatuwezi jilinganisha nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACHENI UPUMBAVU WA KUJIDHARAU WAAFRIKA, UNAJUA HATA WAAFRIKA AMBAO UNAWAONA SASA HIVI NI THE GREAT KAMA KINA SAMORA MASHELI, KINA IDDI AMINI, NYERERE, KINA KWAME, WANGEKUA NA MITAZAMO YA KUJIDHARAU KAMA KIZAZI CHA SASA HIVI KILIVO WENDA HATA UHURU TUSINGE PATA.
Huo uhuru unaosemea kwamba tumepata umetusaidia nini? Miaka zaidi ya 50 ya uhuru, bado kura ya mwanachi inanunuliwa kwa hongo ya T shirt na ubwabwa!, kweli ni akili ya kawaida hii?

South Africa ni Moja ya nchi za mwishoni kabisa kupata uhuru na ndio kimbilio la watu wengi ambao nchi zao zilishapata uhuru, Tanzania ikiwemo, hujajiuliza kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo uhuru unaosemea kwamba tumepata umetusaidia nini? Miaka zaidi ya 50 ya uhuru, bado kura ya mwanachi inanunuliwa kwa hongo ya T shirt na ubwabwa!, kweli ni akili ya kawaida hii?

South Africa ni Moja ya nchi za mwishoni kabisa kupata uhuru na ndio kimbilio la watu wengi ambao nchi zao zilishapata uhuru, Tanzania ikiwemo, hujajiuliza kwa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app

Huko Afrika ya kusini kwenyewe toka wazungu waachie madaraka, watu weusi wamechukua madaraka, badala ya nchi kwenda mbele, ndo kwanza inarudi nyuma.. Viongozi wako busy kugombea kuongoza ili maslahi yao binafsi yatekelezeke.. Ndio ngozi nyeusi hiyo..
 
Mkuu ni matumizi tu sisi matumizi yetu tumeyaweka kwenye ngono mtu anafikiria afanyaje ili apige bao nyingi,angalia thread za humu zenye maudhui ya ngono ndo zina wachangiaji wengi na tumebuni maneno kibao ya hiyo kitu kama papuchi,nundu,nyapu,kitumbua,kipochi manyoya na mengine utaongezea sasa unadhani tutakuwa vipi na akili?wakati mtu anajisifu kupiga bao 8 na hiyo tabia haina umei hadi wazee utakuta wanaongelea papuchi.

tatizo lugha
 
Mkuu ni matumizi tu sisi matumizi yetu tumeyaweka kwenye ngono mtu anafikiria afanyaje ili apige bao nyingi,angalia thread za humu zenye maudhui ya ngono ndo zina wachangiaji wengi na tumebuni maneno kibao ya hiyo kitu kama papuchi,nundu,nyapu,kitumbua,kipochi manyoya na mengine utaongezea sasa unadhani tutakuwa vipi na akili?wakati mtu anajisifu kupiga bao 8 na hiyo tabia haina umei hadi wazee utakuta wanaongelea papuchi.

tatizo lugha
Mkuu, kila mda naongea sijui haunielewi, tatizo una mhukumu muafrika kama group la watu wa rangi flani, shika muafrika mmoja mwenye mafanikio kwenye maisha alafu tafuta mzungu aliefeli maisha. Alafu unambie hayo unayoyasema yanamsababishia nn mtu mweusi matatizo. Acheni kukariri, na wakoloni walio wachapa viboko huwa wanapenda mkariri hivo hivo ili waendelee kuwatawala.

Ungenambia unahukumu mambo kwa asilimia nitakubaliana na ww, lakini kwa mtu mmoja mmoja ni story nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unajiita anti negative energy, hilo jina la kiingereza linaonyesha jinsi gani unavyowakubali wenye lugha yao, kwa nini usingejiita nyangoma, mkwawa tujue unathamini uafrika? halafu jumapili unaenda kumuomba Mungu wao waliokuletea , kwa nini usingebaki na imani ya uafrika wetu waliokuwa nao babu zetu?
 
Hivi kwanini watu weusi mnajidharau sana, hivi leo hii ukizaa mtoto wako na ukaanza kumfundisha mzungu ni bora kuliko wewe unamtengenezea future gani, wenda ungempa ujasiri angeweza kuitawala dunia na kuwa prove wrong wazungu, nimesoma comments nyingi kwenye uzi mmoja umeandikwa "je mzungu ana akili kuliko mtu mweusi?" Majibu ya watu wengi yamenisikitisha sana jinsi Waafrika tunavojidharau, kuna kazi kubwa sana ya kubadilisha mitazamo ya waafrika especially watanzania otherwise tutaendelea kutawaliwa, just imagine mzungu anasoma comment zako na unaandika comment za kujishusha thamani tena kwa madaha na kufurahi.

Nahisi hawa ndiyo wakikutana na wazungu wanachekacheka badala ya kuconcetrate kwe conversation na mwisho wa siku wana sign contract ambazo hawazielewi kisa tu kumuona mzungu kama Mungu, na wakati ni watu wa kawaida tu. Na yawezekana kabisa ukawa unamzidi hadi intelligence bila ww kujua kama unamzidi kutokana na imani potofu.

Binafsi nimegundua watu wengi wanajudge akili kutokana na standard za waliowachapa viboko (wazungu).

Kumbukeni utumwa ni coincidence tu, lakini intelligence ya mtu mmoja mmoja ni kitu kingine kabisa, watu weusi wafanya vitu vingi sana lakini dunia haijawahi kuappriciate, why? Na bila shaka hao wote wanaotoa negative comment kuhusu mtu mweusi wapo inferior na mpo weak nyie kama nyie na sio mtu mweusi. Intelligence has nothing to do with colour. Mkienda kusoma na kuspecialize katika psychology mtajua naongelea nini.

Any body can climb to the top amd reach the highest dream of power, colour is nothing but colour.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mzee baba usijipe moyo ukweli ni ukweli japo unauma, kama tumeumbwa pamoja sie hatuna hata karne moja toka tuanze kustaarabika wao ni zaidi ya karne 19. wao wameendelea hii SGR ufaransa wamejenga zaidi ya hii miaka 50 nyuma, akili za viongozi wetu ndio zinakatisha tamaa zaidi.

Presidaa wa kiafrika na maPhd anaogopa wazungu hata kwenda kwao ulaya, angalia elimu wanaofundishwa watoto leo unadhani wataweza unda hata radio 50yrs later. watu wenye akili watakanyaga mafuta wawe matajiri au kunywa kikombe cha maji ya mizizi wapone ukimwi/kansa kweli.

Viongozi wenye akili kweli wataomba waombewe ili wafanye kazi vizuri????? waafrika wengi wao madish yameyumba yanahitaji right tune. Dunia ya leo mazoezi ya wanajeshi ni kuvunjiwa tofali kifuani, vita hivi ni toka 1930's sasa technologia inamaliza kazi.
 
Tujipime katika pointi hizi kumi hapa chini pointi moja baada ya nyingine ktk video clip David Howard anachambua kwa mifano rahisi pointi hizi kumi, je tunaweza kupingana na hoja zake kwa kutumia lugha rahisi na mifano mepesi hata kwa kiSwahili karibuni wanabodi :

1. Language intelligence
2. logic and mathematics
3. musical intelligence
4. spatial intelligence (chess, surgeon, navigational, dance)
5. bodily-kinesthetic
6. interpersonal intelligence (salesman, work with others)
7. Intrapersonal intelligence (knowledge of and how to handle yourself)
8. Naturalist intelligence
9. teaching intelligence (as young as 3 or 4 children know how to teach)
10. existential intelligence (philosophical intelligence, love, death, future)
By Howard Gardner



It features insight from many of the most celebrated and intelligent individuals in the world today.
Topics on the platform are focused on: emotional intelligence, digital fluency, health and wellness, critical thinking, creativity, communication, career development, lifelong learning, management, problem solving & self-motivation.

Source: Big Think
 
ACHENI UPUMBAVU WA KUJIDHARAU WAAFRIKA, UNAJUA HATA WAAFRIKA AMBAO UNAWAONA SASA HIVI NI THE GREAT KAMA KINA SAMORA MASHELI, KINA IDDI AMINI, NYERERE, KINA KWAME, WANGEKUA NA MITAZAMO YA KUJIDHARAU KAMA KIZAZI CHA SASA HIVI KILIVO WENDA HATA UHURU TUSINGE PATA.
We fala nini Wewe hapo una nini umekifanya cha Maana labda mpaka Ubishane na Ukweli We punga tu uki mind njoo geto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACHENI UPUMBAVU WA KUJIDHARAU WAAFRIKA, UNAJUA HATA WAAFRIKA AMBAO UNAWAONA SASA HIVI NI THE GREAT KAMA KINA SAMORA MASHELI, KINA IDDI AMINI, NYERERE, KINA KWAME, WANGEKUA NA MITAZAMO YA KUJIDHARAU KAMA KIZAZI CHA SASA HIVI KILIVO WENDA HATA UHURU TUSINGE PATA.
Inategemea na mtazamo wako, kuwa great ni kitu gani. Mwingine aweza kumwona hata Idd Amin Dada alikuwa great. Kama unapima kupiga domo kama ndio akili nyingi basi utasubiri sana. Na katika hilo unaweza kujihesabu mwenye hekima machoni pako na wengine kuwaona wapumbavu.

Tangu wakoloni waondoke nini kimebadilika? Kama tulivyoaminishwa kuwa zuzu aliuza nchi yake kwa pipi, ndivyo hata waliomcheka zuzu walivyofanya, ingawa mara hii walizidiwa maarifa vibaya mno na wazungu. Walijiona kama washindi kumbe ndio kwanza wamefungwa vema katika nira za utumwa.

Kumbe basi ombaomba anayekula na kulala jalalani wakati mwingine anaweza pia kujituumua na kuwaonya ombaomba wenzake, "acheni upumbavu, msijidharau eti kwa kuwa ninyi ni ombaomba, mna akili kuliko hao wanaoishi peponi, kwanza mna ujuzi wa kiwashawishi mpaka wawapeni japo shilingi mia. Acheni ujinga."

Sasa sijui mjinga hapo ni nani!!

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
AKILI YA MTU HAIPIMWI MFANO KWA KUSHINDANA NA MZUNGU DARASANI NA KUMSHINDA

iNAPIMWA KWA UWEZO WA KUPAMBANA NA MAZINGIRA

WAZUNGU WANAGUNDUA TEKNOLJIA KILA SIKU ZA KUWASAIDIA KUPAMBANA NA MAZINGIRA SISI KUTWA KUKARIRI VITABU VYA WAZUNGU

MWAFRIKA KAMA AKILI ZIMO KAGUNDUA NINI? AMBACHO KIMESAMBAA DUNIA NZIMA?
 
ACHENI UPUMBAVU WA KUJIDHARAU WAAFRIKA, UNAJUA HATA WAAFRIKA AMBAO UNAWAONA SASA HIVI NI THE GREAT KAMA KINA SAMORA MASHELI, KINA IDDI AMINI, NYERERE, KINA KWAME, WANGEKUA NA MITAZAMO YA KUJIDHARAU KAMA KIZAZI CHA SASA HIVI KILIVO WENDA HATA UHURU TUSINGE PATA.
GREAT KWENYE NCHI ZAO KWENYE TEKNOLOJIA NINI WALIGUNDUA ?
 
Karne ya 15 africa n europe were almost the same in levels of development, techology, education, science, so hayo mambo kuhusudiana na yakaleteleza gap. Utumwa ni wewe mwenyew ukiukataa wewe si mtumwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karne ya 15 africa n europe were almost the same in levels of development, techology, education, science, so hayo mambo kuhusudiana na yakaleteleza gap. Utumwa ni wewe mwenyew ukiukataa wewe si mtumwa

Sent using Jamii Forums mobile app

hatukuwa sawa kwa 100% ila gap lilikuepo tena kubwa tu

mfano mmoja

maritime technology- wakat sisi tunatumia boti za miti za kusukuma na mikono..wenzetu walikua wanatumia za steam engine na walikua wanaeza kwenda popote duniani, wao waliweza kufika kwetu ila sisi hatukuweza kwenda kwao (so unaeza kusema tulikua same sababu wote tulikua na technology ila ukiangalia kwa viwango ni gap kubwa)



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom