Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,992
Yesu ni mfano wa wema na upendo na Mambo mazuri Hilo liko upande wa watu weupe (wazungu)
Shetani ni mfano wa dhambi, roho mbaya na mabaya yote yapo upande wa mtu mweusi (Africa)
White people (wazungu) wanatuchklia katika upande wa shetani mtu mweusi (Africa) ni kiumbe chenye roho mbaya, laana,umaskini, ujinga, na maradhi, vita, hatupendani, watumwa.
Ndo Mana wanamfanya kila mbinu kutuletea vitu vya ajabu ili waharibu kizazi chetu.
Muda mwingine Dini nazo zipo kibaguzi.
Don't take it as a picture, take it for reality, it's true?
Naomba kuwasilishaa.
Shetani ni mfano wa dhambi, roho mbaya na mabaya yote yapo upande wa mtu mweusi (Africa)
White people (wazungu) wanatuchklia katika upande wa shetani mtu mweusi (Africa) ni kiumbe chenye roho mbaya, laana,umaskini, ujinga, na maradhi, vita, hatupendani, watumwa.
Ndo Mana wanamfanya kila mbinu kutuletea vitu vya ajabu ili waharibu kizazi chetu.
Muda mwingine Dini nazo zipo kibaguzi.
Don't take it as a picture, take it for reality, it's true?
Naomba kuwasilishaa.