Si kwa mapenzi haya

Si kwa mapenzi haya

Hivi kumbe ni maajabu eeh... Wacha ninyamaze tuu maana....
 
Mwacheni aoshe! Mtu anataka mume awe msafi.. Tukija nayo(magari) mjini yakiwa machafu wanatukanwa wake zetu..

Mkewe atakuwa mchafu tu.. Au hajafundwa.. Akiosha Upendo huo vipi..

Na sisi tukiwaona Hamna Madera yakisomali tunawanunulia.. Tukiona kuku wa kuchoma kwa tesha tunawabebea mnadhani hatupendi tuwatafune huko huko..

Mumuache mama ashow Love.. Hata hivyo sio mlalavi.
 
Huwezi jua nyuma ya pazia nini kinachoendelea...

Unaweza ona gari linaoshwa ukadhani ni mapenzi, kumbe kuna mazito...

Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom