goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,151
Dhambi ya temporary siyo mbaya unasaka dolari ya kuwekezaDuuuhh...mm siwezi hivyo maana hiyo ni dhambi kubwa sana naogopa isije kunitafuna.

Dhambi ya temporary siyo mbaya unasaka dolari ya kuwekezaDuuuhh...mm siwezi hivyo maana hiyo ni dhambi kubwa sana naogopa isije kunitafuna.

Chura anapenda maji lkn sio ya moto.Dhambi ya temporary siyo mbaya unasaka dolari ya kuwekeza![]()
![]()
![]()
Chura anapenda maji lkn sio ya moto.
kwa 1 day kuvumilia siyo mbaya....Aaaahhh mm kwangu NO kama pesa hata mm naijua kuitafuta.![]()
kwa 1 day kuvumilia siyo mbaya....
Mmmh hupendi slope eenhreeAaaahhh mm kwangu NO kama pesa hata mm naijua kuitafuta.

Heeeheee halooooo...sawa dyadya.
Utakua unaoshaa eeh?Mume akitoka kazini anampitia mchepuko anamweka ndani ya gari saaaafi kabisa,haoooooo kula kuku kwa mrija
Bado nasubiri,ununue lako niosheUtakua unaoshaa eeh?
Asante mpendwa.Karibuu.
Sipendi kwa kweli rahisi huwaga ghali.Mmmh hupendi slope eenhree![]()
![]()
LipooBado nasubiri,ununue lako nioshe
Haya nakuja kuliosha kuanzia keshoLipoo
Kwani kuna ajabu gani mchumba!!![]()
![]()
![]()

kama mume nipo mchumba huruhusiwi kuosha gari. Kazi za kiume kiaina hizo.