Si kwa mapenzi haya

Si kwa mapenzi haya

Mke ni mama wa nyumbani, wana Toyota karina ambayo mume anaendesha kuendea kazini. Bibie anaamka saa 11.30 asubuhi kuosha gari .
Mkoleni sikufundishwa haya na gari yenyewe hata kuendesha hajajifunza.
Mkuu ,usikariri eti gari lazima couples wote waendeshe,,mimi sina gari but nikinunua nataka mke nitakae muoa ndiyo awe ana niendesha,
 
Ha ha ha cha asubuhi kitamu mno we hujui tu.
Mimi akili ikishahamia chini halafu ukaniambia no mimi nakusukumia tu mashine mwenyewe utaonyesha ushirikiano.

Nooh hapo ndo mnapokosea. ... mapenzi makubaliano bana vinginevyo utakuwa unabaka.

Mie kama sitaki au sijisikii kukupa halafu ukafosi nalala usingizi tuliii kama gogo nakuacha ujisevie ukimaliza naenda kuoga nalala hata sikusemeshi.
Hata upige katerero kama sijisikii kufanya waalaah siamki sana sana utajikuta peni yako inalala kwa kukosa ushirikiano. Raha ya penzi mshirikiane bana weeh,mnaeza enda masaa 3 bila kujijua ni utamu juu ya utamu..... ila ukijifanya ooh mie nataka.... tena kinguvu.... kwa Kasie utaishia kubaka tuu.
 
unataka kuniambia shangazi yangu ana amka rukwili kuosha usafiri wako..
Sina usafiri,na ningekuwa nao kazi hiyo ningeifanya mwenyewe.

Mke wangu ananipenda sana na ikitokea nimepiga mechi za nje huwa naumia kweli yaani namuonea huruma hatari ila mwisho w siku Mimi ni mwanaume so najikaza kisha napotezea.
 
Nooh hapo ndo mnapokosea. ... mapenzi makubaliano bana vinginevyo utakuwa unabaka.

Mie kama sitaki au sijisikii kukupa halafu ukafosi nalala usingizi tuliii kama gogo nakuacha ujisevie ukimaliza naenda kuoga nalala hata sikusemeshi.
Hata upige katerero kama sijisikii kufanya waalaah siamki sana sana utajikuta peni yako inalala kwa kukosa ushirikiano. Raha ya penzi mshirikiane bana weeh,mnaeza enda masaa 3 bila kujijua ni utamu juu ya utamu..... ila ukijifanya ooh mie nataka.... tena kinguvu.... kwa Kasie utaishia kubaka tuu.
Sasa kama mshedede umeshatutumka na wewe unasema hutaki unategemea mimi nifanyeje kama si kupata dawa?
Halafu bao la kutokupata ushirikiano huwa linakuja fasta mbona.
 
Uwiii hapo umesema kweli maana sithubutu kuamka au kufikiria tu kuamka kwa ajili ya kkuosha gari kila siku.
 
Badala wapate something huo muda kwa ajili ya afya anawaza kuosha gari, what a shame
 
Waaaii kwanza hata cha asubuhi sikitaki mie. ... usingizi wa asubuhi mtamu atii. Ndomaana mahusiano yananishinda maana nikisemaga NO huwa sibembelezeki.....
Kasie ww wa kaskazini nn
 
Sina usafiri,na ningekuwa nao kazi hiyo ningeifanya mwenyewe.

Mke wangu ananipenda sana na ikitokea nimepiga mechi za nje huwa naumia kweli yaani namuonea huruma hatari ila mwisho w siku Mimi ni mwanaume so najikaza kisha napotezea.
Aaahhh jamaniii... basi acha tabia yako ya kuchepuka.
 
Me nikajua anaosha CADILLAC ESCALLADE au RANGE ROVER STARTECH, LEXUS SUV, RENAULT , kumbe TOYOTA halafu corolla mwambie aoshe tu asiache tena aoshe usiku saa 7 na saa 11:30.
 
Aaahhh jamaniii... basi acha tabia yako ya kuchepuka.
Unafikiri napenda basi mamii,huwa nazidiwa mwenzio maana unakuta mremo kanielewa na mimi nimemwelewa.
Mwisho wa siku tunatohombana.
 
namtetea mwanamke mwenzangu.
Mmmh..!! Siyo kwa kutetea huko huchelewi kumuiba mumewe utashangaa nyumbani mkewe anakula wali maharage daily wakati wewe huku mumewe mnakula naye chipsi na kuku choma we si wa sport mchezo.
 
Mmmh..!! Siyo kwa kutetea huko huchelewi kumuiba mumewe utashangaa nyumbani mkewe anakula wali maharage daily wakati wewe huku mumewe mnakula naye chipsi na kuku choma we si wa sport mchezo.
Duuuhh...mm siwezi hivyo maana hiyo ni dhambi kubwa sana naogopa isije kunitafuna.
 
Back
Top Bottom