Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,789
- 47,984
Mkuu ,usikariri eti gari lazima couples wote waendeshe,,mimi sina gari but nikinunua nataka mke nitakae muoa ndiyo awe ana niendesha,Mke ni mama wa nyumbani, wana Toyota karina ambayo mume anaendesha kuendea kazini. Bibie anaamka saa 11.30 asubuhi kuosha gari .
Mkoleni sikufundishwa haya na gari yenyewe hata kuendesha hajajifunza.
