Zuriel_cfc
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 4,096
- 9,074
Hyo ngumu sana aisee, nitaamka kumuandaa tu as in maji ya kuoga, nguo, chai na kumsindikiza garini. Kuosha gari NO!
You nailed it brudaHuyo itakuwa alikuwa House girl akapandishwa cheo
Wanawake wengine hawana time na magari.Mke ni mama wa nyumbani, wana Toyota karina ambayo mume anaendesha kuendea kazini. Bibie anaamka saa 11.30 asubuhi kuosha gari .
Mkoleni sikufundishwa haya na gari yenyewe hata kuendesha hajajifunza.
Kwahiyo wewe una upendo was deci au sio mkuu?Usicheke mie siwez hivyo sina upendo huo wa agape.![]()
Kwahiyo wewe una upendo was deci au sio mkuu?


sina upendo uliopitilizaCha asubuhi anapata saa 11 kamili.Usijekuta anafanya bila ridhaa yake.... saa 11.30 unaacha kupigwa cha asubuhi ati unaosha gari.... uko wapi mgawanyo wa majukumu?
Kuna ya kufanya mke na kuna ya kufanya kijana wa kazi na ya kufanya mke. Huyo mama/dada kuwa mama ya nyumbani uskute mumewe anamwambia ili nikupe pocket money inabidi ufanye kazi zinazomfanya mume alipie huko nje. Mfano hapo akiosha gari kika siku aidha ana 3000 au 2000 ambayo angewapa vijana waoshe hiyo gari hulk mtaani. Na mengine ambayo hatuyajui usikute mama wa watu ana nyanyasika kisa apate ujira. Sijawahi kuwa mama wa nyumbani ila ukiwaza na kutafakari sio kitu rahisi, yaani huna kipato zaidi ya hela ya matumizi unayoachiwa na mume ndo ubane apate walau hela ya kumtumia mama yake vocha au mdogo wake amnunulie kitu.
Sasa mbaya zaidi kama wana dada wa kazi ambaye a nabaki ndani alfajiri kufanya usafi wa nyumba na kuandaa kifungua kinywa huku wewe mama mwenye nyumba unapigwa na umande nje kisaa. ... mna save hela ya kutosha gari huko kitaa au apate ujira badala ya hela kumlipa mtu wa nje. Mbaya zaidi ukute muda huo dada wa kazi anainamishwa na the said mume ptuuuu....
All in all hapo hapajakaa sawa hata kama huyo mama ametokea kijijini, ukishamiliki gari inatakiwa budget yako ibadilike uwe na gharama ya kulipeleka car wash kila weekend na week days walau mara 4 lisafishwe juu juu na vijana wa parking au ule kobisi wiki kwa wiki. Ukiona huwezi muda gharama za kuosha gari bora uliuze utumie uber au bajaji kijulikane kimoja hutopata kero na gharama za kuosha gari.
Kama kawaida yangu nimeongea mengii sijui nimeeleweka. ...!!!?? Kila mtu achambue achukue kinachomfaa mie nshamaliza.
he he he he
tatizo ana tabia ya kuwapa vijana wadogo wadogo lift.
Hii inaniumiza sana moyo


punguza wivu babaTatizo nini mpaka uwe hivyo mkuu.sina upendo uliopitiliza
Hao waende kupima mkojo kwa mkemia mkuu.Tatizo nini mpaka uwe hivyo mkuu.
Wakati kuna wengine wanapenda mpaka wanavurugukiwa akili.
Wanabana matumizi,ila mama kutokujua kuendesha ndio naona kuna tatizo maana itajatokea dharura aidha baba anaumwa au hayupo na kuna mgonjwa wa kuwahishwa hospitalini ndio hapo matumizi ya nge....nge yanapoanza.Mke ni mama wa nyumbani, wana Toyota karina ambayo mume anaendesha kuendea kazini. Bibie anaamka saa 11.30 asubuhi kuosha gari .
Mkoleni sikufundishwa haya na gari yenyewe hata kuendesha hajajifunza.
Cha asubuhi anapata saa 11 kamili.
Duh mkojo na kupenda kumbe kuna mahusianoe.?Hao waende kupima mkojo kwa mkemia mkuu.
unataka kuniambia shangazi yangu ana amka rukwili kuosha usafiri wako..Duh mkojo na kupenda kumbe kuna mahusianoe.?
Haya ngoja shangazi yako amalizie kupika nije nimshauri akapime maana ananipenda mpaka watoto wanaona wivu.
Ha ha ha cha asubuhi kitamu mno we hujui tu.Waaaii kwanza hata cha asubuhi sikitaki mie. ... usingizi wa asubuhi mtamu atii. Ndomaana mahusiano yananishinda maana nikisemaga NO huwa sibembelezeki.....