Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,193
Yaani inasikitisha utakuta mtangazaji au kiongozi mkubwa ngazi ya taifa anatamka kabisa "SANTAIZA".
Yaani inasikitisha utakuta mtangazaji au kiongozi mkubwa ngazi ya taifa anatamka kabisa "SANTAIZA".
Na wewe fungua pm ushuhudie wanayopitia wenzioMbona unakazia dear!
Umepatwa na nini, nidokeze hebu
Mbona iko wazi jamaniNa wewe fungua pm ushuhudie wanayopitia wenzio
Ni kitu gani kimekufanya utoe angalizo hili?Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani Leo ni weekend
Na hili jukwaa Wana MMU kila mmoja Ana haki ya kueleza yaliyo moyoni mwake sasa si kila tunaloleta shida zetu hasa sisi wanawake mkahisi tunashida ya kutongozwa sana au Malaya
Sent using Jamii Forums mobile app
hongera mama, tenda wema uende zako, atakushukuru one dayHalafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.
Haswaa
hahah mzinga hajawahi muacha mtu salamaKuna mmoja huko love connect kaombwa eflu 5 kamuita dada wa watu changudoa.
😂😂😂😂
It is okay, karibu.Asante, haitajirudia.
Waje tu wakute mambo si mamboWatu wakiona Username ya Kishua kama Zoë na dp yenye raba kali wanataka kuja PM.
Sijaolewa na sina mpango huo kwa sasakwani mamaa ungekataa hukohuko kimyakimya ingekuwaje? huko mtaani kwenu kama hutongozwi jua kbs hapa jf unatongozwa vile tu ni nyuma ya keybord! ukiweka pic yako utaanza kumtafuta japo wa salam.
kwani umeolewa!?
Ushauri mzuriMkuu...
Maisha ya mtandaoni usiyachukulie kwa uzito sana, unaweza ukavutiwa na maandiko yangu ya kujisifia kimaisha kumbe ni choka mbaya kuliko hata wewe.
Kuna wengine furaha yao ni kupinga kila kitu kiandikwacho na wengine,lengo aone mwenzie anavyo kwazika.
Hata hao wanao kuja PM kwa mitongozo sio watongozaji, wengi wao mapepo wa makwazo, nenda nao sawa utaona wanavyo pungua.
Achana na stress za mitandaoni,Corona ipo itakuchukua haraka kwa kupungukiwa na kinga ya mwili.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nini
Hamna....Na mie Nimeipenda avatar yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nini
Mmhh
Teh, hamna kitu dear.
Halafu hao waropokaji ndio hata hawana hadhi ya kututongoza.
Mfano Jana namfundisha digba sowey namna ya kuandika vizuri baada ya kuona anaandika hovyo bila kufuata vituo na r badala ya L na anasema yeye ni mwalimu.
Badala apokee somo langu akasema namtaka anioe. Ila atanyooka tuu.