Shule ya Mafunzo ya Uongozi isitumie jina la Mwalimu Nyerere, bali itambulike kama Shule ya Uongozi (SUT)

Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha!
Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
tukiita shule ya uongozi huoni tutakuwa tuna muenzi H. Polepole maana alishaanzisha shule ya uongozi on line. au amekuomba umwakilishie wazo.
nyerere ni icon ya Afrika na hata duniani alitambulika kama kiongozi bora kwa wakati wake na hata sasa hakuna alie wewza kuvaa viatu vyake tz kwa mantiki hiyo acha apewe sifa zake.
cha kusisitiza hapa ni elimu na mafunzo na wakufunzi na wana zuoni wawe na element za nyerere hasa kwenye uadilifu.
tukiwa tuna waita watu kama Pro Lumumba from kenya aje kukata kipindi siku moja next time anaenda Jeneral Ulimwengu tunakuja na profesa Issa Shivya n.k italeta maana kidogo ya hilo jina.
 
tukiita shule ya uongozi huoni tutakuwa tuna muenzi H. Polepole maana alishaanzisha shule ya uongozi on line. au amekuomba umwakilishie wazo.
nyerere ni icon ya Afrika na hata duniani alitambulika kama kiongozi bora kwa wakati wake na hata sasa hakuna alie wewza kuvaa viatu vyake tz kwa mantiki hiyo acha apewe sifa zake.
cha kusisitiza hapa ni elimu na mafunzo na wakufunzi na wana zuoni wawe na element za nyerere hasa kwenye uadilifu.
tukiwa tuna waita watu kama Pro Lumumba from kenya aje kukata kipindi siku moja next time anaenda Jeneral Ulimwengu tunakuja na profesa Issa Shivya n.k italeta maana kidogo ya hilo jina.
Kigoda cha Mwalimu nyerere kinatosha kutumia jina lake!
Hii SHULE ibaki na jina lake halisi
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Nyerere ni market duniani kote.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Huyo unayemtaja rais wako juzi katembelea kaburi la Nyerere.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Mkuu kama ulivyojitambulisha kuwa nawe ni miongoni wa mliokuwa karibu na Mh. Rais ni jukumu lenu kumshauri Mh. juu ya hoja yako.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Harvard University kwa upande wa Public Administration inaitwa JF Kennedy School of Government.

JKN kuna mengi kafanya nchi na kusini kwa jangwa la sahara.
images%20(5).jpg
View attachment 2125371
 
Sasa matusi ya nn! Mambo ya chama huhudhuliwa na mwenyekiti! Mambo ya kitaifa Ndipo Kofia ya URAIS hutumika!

Huwezi muita RAIS kwenda kuzindua tawi la BAVICHA, AU UVCCM
Huwezi kumtambulisha Kama Mwenyekiti wa CCM tu wakati juu yake kuna Cheo cha Urais. Havitenganishiki.
Hata huyu Mama akiwa ni Shangazi yako, hawezi kuja kukutembelea Eti kama Shangazi tu na Urais auache Ikulu. Lazima atakuja tu na Urais wake mpaka ndani mwako.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Harvard University kwa upande wa Public Administration inaitwa JF Kennedy School of Government.

JKN kuna mengi kaifanya nchi hii na kusini mwa jangwa la sahara.View attachment 2125372View attachment 2125371
 
Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
1. Tuliokaribu na Rais Samia hatutamwambia chochote kuhusu pendekezo lako.
2. Jina la chuo halitabadilishwa.
Tukuone sasa utafanyaje, ukiumia sana nenda kajinyonge.
 
Back
Top Bottom