Shule ya Mafunzo ya Uongozi isitumie jina la Mwalimu Nyerere, bali itambulike kama Shule ya Uongozi (SUT)

Samia akithubutu kufanya hlo hapo wale wala kiti barid lazma wamparure
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Kinachokuuma ni mzazi wako au wewe kutokuwa na vigezo vya kuwekwa hapo siyo? Kwani ikiitwa mwalimu Nyererw inaathiri masomo kwa namna ipi?
 
Kinafunguliwa na Mheshimiwa 23rd February,

Lami imeishia pale pale chuo wakati hiyo ndo njia ya kwenda steshen reli ya mwendokasi.

Maji huku jirani na chuo hakuna ni wiki tatu sasa raia hatuna maji.

Hapa tuko kuandika mabango hatujui yataondoka na nani.
Mungu awasamehe watanzania. Hii nchi inabidi tuingie kwenye maombi maalum ya kuomba toba na msamaha.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Kama ni jina basi MAGUFULI NDIYO JINA SAHIHI KWA HIYO SHULE KUITWA , ni kiongozi bora kuwai kutokea duniani
 
Hapo hakuna tofauti kati ya nyayo na nyaya kwa sababu obviously neno letu limetoka India au neno like la India limetoka hapa.
Asante kwa kujali.
Nadhani jielekeze vizuri. Nyayo linatumika Kenya kumaanisha fuata nyayo... (alama za miguu) follow in the footsteps! Harambeee... Nyayo!
Matumizi ya Nyãyã kwa wahindi nadhani asili yake si hizo nyayo zako au zangu!
 
Ni kwa mtazamo tu ila sioni kama kuna tstizo maana lile jina tu ambalo halijabeba chochote kitu, chukulia mfano familia zetu ili kizazi kisisahsulike kinaenziwa kwa kulidhishana majina hata ukienda kwenye mandiko matakatifu ni hivohivo kwa maana hiyo kwangu naona haileti shida maana we pale umefuata mafunzo sio jina la shule au taasisi.
Ukiwa na akili za anti-ccm hakika hutopata udahili pale.
 
Kuishiwa ubunifu ni moja ya shida zetu, yaani kila kitu kiitwe Nyerere, Barabara yeye, noti/sarafu yeye, tumekuwa watumwa wa kimapokeo....je, ni Nyerere pekee aliyehodhi naming rights za nchi hii?
 
Kuishiwa ubunifu ni moja ya shida zetu, yaani kila kitu kiitwe Nyerere, Barabara yeye, noti/sarafu yeye, tumekuwa watumwa wa kimapokeo....je, ni Nyerere pekee aliyehodhi naming rights za nchi hii?
Nakuelewa sana mkuu
 
Nimekikumbuka chama cha UNIP cha Zambia cha kina Keneth Kaunda. Hakipo kwa kuwa kilikubali kushindwa kwenye uchaguzi.
Kingekuwa bado kinatawala kingekuwa sehemu ya shughuli hiyo kwani nacho kilikuwa chama cha ukombozi.
 
Hicho Ni chuo Cha CCM. Siyo chuo Cha serikali.

Naona hujaelewa hicho kitu.

Kwahiyo kwa CCM kulipa Hilo jina chama Chao, hakuna tatizo lolote.

Maana huwezi kumtenganisha Nyerere na CCM.

Hicho sio Chuo cha ccm. CCM [ Mzee Mangulla alipopewa jukumu la kuandika historia ya SOUTHERN AFRICAN LIBERATION STUGGLE sijui kama imekwisha!] ndio wakajumuishwa na vyama vingine vya ukombozi FRELIMO, ANC, SWAPO, ZANU, sina hakika na MPLA kujenga Chuo cha kumuenzi hayati Mwalimu Nyrere kama kumbukumbu ya mchngo wake kukomboa nchi za kusini mwa Africa!! Hivyo basi hiki Chuo ni cha vyama vote vilivyochangia na ccm Ikawa ndio mwenyeji wao.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Kama hakuwa Malaika inakuuma nini?
 
Shule ya Uongozi ipo moja tu, inaendeshwa na komredi Humphrey Polepole
images (92).jpeg
 
Back
Top Bottom