Shule ya Mafunzo ya Uongozi isitumie jina la Mwalimu Nyerere, bali itambulike kama Shule ya Uongozi (SUT)

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,403
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha mfano; chuo cha Mwalimu nyerere, secondary na primary za nyerere, uwanja wa nyerere, chuo cha Mwalimu nyerere Zanzibar, kigoda cha Mwalimu nyerere, Mwalimu nyerere memory academy, ukumbi wa Mwalimu nyerere, nyerere square, Daraja la nyerere n.k! (ZINATOSHA)

Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
IMG_20220220_092834.jpg
 
Hicho Ni chuo Cha CCM. Siyo chuo Cha serikali.

Naona hujaelewa hicho kitu.

Kwahiyo kwa CCM kulipa Hilo jina chama Chao, hakuna tatizo lolote.

Maana huwezi kumtenganisha Nyerere na CCM.
 
Hicho Ni chuo Cha CCM. Siyo chuo Cha serikali.

Naona hujaelewa hicho kitu.

Kwahiyo kwa CCM kulipa Hilo jina chama Chao, hakuna tatizo lolote.

Maana huwezi kumtenganisha Nyerere na CCM.
Sasa kwanini RAIS ndiyo atazindua kama Rais, kwanini wasingemuita kama mwenyekiti wa chama?
 
Wewe jamaa Ni mpumbavu na bwege. Huyo Rais si ndio mwenyekiti wa chama Chao.

Mbona unakuwa juha sana
Sasa matusi ya nn! Mambo ya chama huhudhuliwa na mwenyekiti! Mambo ya kitaifa Ndipo Kofia ya URAIS hutumika!

Huwezi muita RAIS kwenda kuzindua tawi la BAVICHA, AU UVCCM
 
Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!
Basi kwa mantiki hii iitwe Shule ya Uongozi Duniani (SUD). 😂
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha!
Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Imeshaitwa sasa wewe unatakaje,..Ifutwe? Wabinafsi tu wenye chuki na fikra za kijamaa ndio hawangependa jina la nyerere kuitwa vitu.
 
Sikatai kumuenzi Mwalimu nyerere,

Lakini hii kasumba ya kumuenzi Mwalimu kwa kuita Majengo jina lake Naona sasa Imepitwa na wakati!

Ifahamike Mwalimu hakuwa malaika! Hivyo tunaweza kufanya bora zaidi kutoka pale alipoishia yeye!

Kuita Shule ya Mwalimu nyerere, ni kuweka speed gavana kwenye saikolojia ya mafunzo yatayofanyika mahala pale!

Nashauri itoshe pale kuitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT) ili kuweka Uhuru wa mafunzo!

Mafunzo yatakayotolewa pale yatawanukuu viongozi mbalimbali akiwemo Mwalimu nyerere na wengine duniani kama role model!

Hivyo kuita kila kitu MWALIMU NYERERE hii wala siyo uzarendo Bali ni unafiki!
Mwalimu nyerere anatakiwa kuenziwa moyoni na si kwenye majengo!

Nashauri hivi ili kuvutia hata wanasiasa kutoka mataifa ya mbali kuja kujifunza pale pasipo kufungamana na jina LA Mwalimu nyerere!
Taasisi zilizowahi kupewa jina hilo zinatosha!
Sasa naomba majengo yabebe MAONO halisi ya LENGO!

Itakuwa na maana kubwa sana kama Pataitwa SHULE YA UONGOZI TANZANIA (SUT)

Tuondoe hii speed gavana ya Mwalimu

Naomba tuliokaribu na Rais Samia hususani Usalama kitengo cha siasa na propaganda Tumuombe Rais apendekeze hilo jina litumike siku ya uzinduzi 23 Feb pale KIBAHA
View attachment 2124648
Mleta mada una undugu na mzee kilizi a.k.a mzee wa kuhujumiwa kijukuu wa dully sykes. Mohamed Said

#MaendeleoHayanaChama
 
Ilibakia kidogo tu useme kiitwe mbowe academy international.

Ila ndio hivyo tena nyerere ndio alikuwa mwenyekiti wa kwanza wa chama hivyo ana haki hiyo.
 
Uwanja wa ndege ukiitwa "Jomo Kenyatta" haina maana kwamba watu wote wanaotua pale lazima wawe mashabiki wa Nyaya philosophy.
By the way,Nyaya no neno la Kihindi linalomaanisha "logic' .
Kwa mfano zipo Nyaya Sutras of Gautama ambazo kama ungesoma,usingeandika mambo haya.
 
Back
Top Bottom