Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,548
- 2,180
Vita tena mkuu?Yani huyu jamaa anajua sehemu za kumkalisha adui fasta nimekuwa nikifuatilia visa vyao aisee wanatisha kuna mmiliki aliwahi kuchomolewa koromea yani kisa alikuwa anawasevia msosi mdogo. Hii breed haijawa purposely kwa ajili ya ulinzi labda kwa ajili ya vita.