Shule ya mafunzo ya mbwa

Shule ya mafunzo ya mbwa

Mkuu ww ni mtu watano unanitisha. Mm nimeambiwa hawa mbwa ndo wazur sana kwa ulinzi na ni wepesi kushika mafunzo. Nzur zaid nasikia uwezo wao wa kunusa ni mkubwa mno. Anaweza kunusa harufu ya kitu umbali wa mita 120,hii inamaana Pitbull mmoja anatosha kung'amua uwepo wa mtu mgeni ndan ya nyumba kwakunusa harufu tu na anachukua hatua kumdhibiti mtu huo.
Usisikilize ya watu kwani huyu kiumbe mimi huwa namfananisha na black mamba kwa nyoka.
Kuna familia nakumbuka walikuwa sio mbali sana na nilipokuwa naishi miaka ya nyuma (sio tz)
Walikuwa na hili jibwa la kutisha walizoeana mpaka mtoto wao wa miaka 2 akawa anacheza nae, basi siku moja walimuacha mtoto akiwa anacheza nae garden ya nyuma wakasikia kelele
Kuja kutahamaki pit bull alikuwa anamchana chana kama toy.
Na huo ukawa mwisho wa uhai wa mtoto na mbwa aliuwawa na police.

Sikutishi ila sasa huku niliko ni lazima umsajili kama utapata kibali na pia lazima umuwekee insurance kama likitokea jambo fidia ipatikane na la muhimu zaidi ambayo ni lazima kila wakati uwe umemfunga chain au kamba na mdomo ukiwa umefungwa kama picha inavyoonyesha.

Hawa sio mbwa kaa nao mbali tafuta wengine
20181005_073721.jpeg
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni
Km unataka wa ulinzi mkali mtafute Rottweiler, otherwise German Shepherd pia anafundishika vizuri sana, ila Rott ni msala
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni
Ngoja nikutumie namba mkuu
 
Pitbull km utaweza kuwalisha na kuwatunza bas fresh sana, na uwe na chain ndefu na nene maana wana nguvu afu wapo fit km wakipewa matunzo,
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni
Piga namba hizi huyu ndo ticha wa mbwa aina zote hata wetu kapata mafunzo hapo 0715916521
 
Km unataka wa ulinzi mkali mtafute Rottweiler, otherwise German Shepherd pia anafundishika vizuri sana, ila Rott ni msala

Rottweiler mpaka uwe na kibali cha police na uwe na uzio mrefu sana yule ndo hatari watu wanasema Put bul nawaangalia nasema hiiii
 
Nachokushauri usije kujaribu kununua mbwa aina ya Pitbill, hakuna mbwa hatari duniani kama huyo hata baadhi ya nchi ni marufuku kufuga. Anatumika kuwindia ay kupiganisha na mbwa wengine kwenye mashindano. Hafai kufugwa, wazungu wenyewe wanamfunga mdomo kwa kifuniko cha wavu kisa balaa lake.
Chunga sana mkuu.

Si hao tu hata Rottweiler usijiloge kununua, mbwa huyo anaweza kuruka na kuvuta koo la binadamu kwa meno. Anaua mtu.

Nunua German stepherd ndiyo akapewe mafunzo, huyo ni hatari ila kidogo ana nafuu akiwa na mafunzo si hatari.

Pitbull na Rottweiler hata wawe na mafunzo ni hatari kwa binadamu vilevile.
 
Usisikilize ya watu kwani huyu kiumbe mimi huwa namfananisha na black mamba kwa nyoka.
Kuna familia nakumbuka walikuwa sio mbali sana na nilipokuwa naishi miaka ya nyuma (sio tz)
Walikuwa na hili jibwa la kutisha walizoeana mpaka mtoto wao wa miaka 2 akawa anacheza nae, basi siku moja walimuacha mtoto akiwa anacheza nae garden ya nyuma wakasikia kelele
Kuja kutahamaki pit bull alikuwa anamchana chana kama toy.
Na huo ukawa mwisho wa uhai wa mtoto na mbwa aliuwawa na police.

Sikutishi ila sasa huku niliko ni lazima umsajili kama utapata kibali na pia lazima umuwekee insurance kama likitokea jambo fidia ipatikane na la muhimu zaidi ambayo ni lazima kila wakati uwe umemfunga chain au kamba na mdomo ukiwa umefungwa kama picha inavyoonyesha.

Hawa sio mbwa kaa nao mbali tafuta wengine View attachment 887496
Yaani ulivyo mfananisha na nyoka koboko mwili mzima umesisimka. Kamay ule nyoka ni shetani basi huyu dogi atakuwa ibilisi... simtaki hata kwa kupewa bure
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni
Kitu kingine, mbwa malengo gani? Ulinzi nyumbani au pet au pambo fulani?
Police hupendelea German Shephard kwa kuwa anafundishika kirahisi. Wenzetu hutumia aina fulani kuchunga kondoo.
 
Yaani ulivyo mfananisha na nyoka koboko mwili mzima umesisimka. Kamay ule nyoka ni shetani basi huyu dogi atakuwa ibilisi... simtaki hata kwa kupewa bure
Believe me mkuu, sioni utofauti wake this dog is the most aggressive
Yaani hata ukipishana na mtu amemshikilia ni lazima asimame amdhibiti mpaka upite
Hana urafiki ni ushari tu kama Koboko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom