Shule ya mafunzo ya mbwa

Shule ya mafunzo ya mbwa

Huyu dog achana nae si unaona mpaka ana six part, Maamuzi yake na akili zake zinamtosha yeye tu afai hata kwa familia, anajifanyaga ana hasira hadi ansahau mmiliki anamng'ata
tapatalk_1538750015971.jpeg
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni

Karibu mkuu
 

Attachments

  • IMG_0214.JPG
    IMG_0214.JPG
    96.4 KB · Views: 40
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni

IMG_0213.JPG
 
Pamoja sana mkuu
Bora mara mia hao
Unajua anapo attack anarukia kende tu yaani haendi usoni wala mkono ni katikati tu hapo hata ngumi huwezi tupa unalegea mwenyewe
Yani huyu jamaa anajua sehemu za kumkalisha adui fasta nimekuwa nikifuatilia visa vyao aisee wanatisha kuna mmiliki aliwahi kuchomolewa koromea yani kisa alikuwa anawasevia msosi mdogo. Hii breed haijawa purposely kwa ajili ya ulinzi labda kwa ajili ya vita.
 
Yani huyu jamaa anajua sehemu za kumkalisha adui fasta nimekuwa nikifuatilia visa vyao aisee wanatisha kuna mmiliki aliwahi kuchomolewa koromea yani kisa alikuwa anawasevia msosi mdogo. Hii breed haijawa purposely kwa ajili ya ulinzi labda kwa ajili ya vita.
Ni kweli mkuu hawa ni vitani tu ndio panawafaa lakini sio kumkaribisha nyumbani.
 
Mkuu,kuna taratibu zozote kisheria za tz ninazopaswa kufuata ili nimiliki hao Rottweiler?
Hamna mkuu, ni mbwa km mbwa wengine, ila swala linakuja kwako unaamini una vigezo vya kumiliki Rottweiler, namaanisha msosi, huduma za veterinary, afya nzima kiujumla ya huyo Dog, chanjo n.k, unabidi uwe una bajeti na ratiba ya kumhudumia, else hautaweza kumwelewa vizuri
 
Unataka ufuge kwa ajili ya ulinzi tuu? uliisha wahi kufuga Mbwa? namaanisha hawa G.S au Rot?
kama huna kipato cha uhakika au hujawa tayari na Bajeti yake kamili Hii breed haikufai kabisa, Udhaifu wao ni (OBEDIENCE)utii mdogo wakiwa hawapo vizuri (mazingira, lishe)
BTW Sikumbuki kama hii Pure breed imeruhusiwa hapa kwetu ila nimewaona cross Breed tu
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni
Mkuu,wewe tafuta urafiki na askari Polisi wa kikosi cha Mbwa na Farasi,mwambie shida yako atakusaidia.Njia rahisi ya kuwapata ujenge mazoea ya kuhudhuria Police Mess hata ikiwa hunywi bia nunua hata maji tu.
 
Habari zenu wana Great thinkers.
Naomba msaada wenu kwa anaejua shule ya mbwa ktk mkoa wa Dar es salaam.

Ninampango wa kununua mbwa aina ya PITBULL lkn nasita kwakua nimeambiwa aina hii ya mbwa huwa haina rafiki wa kudumu na inaweza kukuchenchia wakat wowote ispokuwa tu kama anamafunzo,ndipo huweza kujizuia kuleta zogo kwa bosi wake. Aina hii nasikia ni aina ya mbwa wakali kuliko wote Duniani.

Please! Wanajopo naomba mnielekeze ninapoweza kuipata shule ya mbwa ili nikimnunua nikamuanzishe shule

Ahsanteni
Kuna mtaalam anaitwa Elia maeneo ya mbagala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom