Shule ya mafunzo ya mbwa

Shule ya mafunzo ya mbwa

Mkuu ww ni mtu watano unanitisha. Mm nimeambiwa hawa mbwa ndo wazur sana kwa ulinzi na ni wepesi kushika mafunzo. Nzur zaid nasikia uwezo wao wa kunusa ni mkubwa mno. Anaweza kunusa harufu ya kitu umbali wa mita 120,hii inamaana Pitbull mmoja anatosha kung'amua uwepo wa mtu mgeni ndan ya nyumba kwakunusa harufu tu na anachukua hatua kumdhibiti mtu huo.
Hapana si kweli.
Kwenye kushika mafunzo German shepherd ndo makini sana, hawa jamaa pits ni watata na wananguvu sana.

Ila kwa ulinzi tafuta rottweilers wapo vizuri sana.
 
Kulingana na report za hawa jamaa wanaojiita inside dog world mashambulio mengi ya mbwa dhidi ya binadamu yanasababishwa na hawa pitbulls

Wanasema mbwa hao ni hatari sana kwasababu wako powerful na bites zao sio za kawaida. Pia hawatabiriki kwani wana independent decision yani wanatabia ya kufanya maamuzi au shambulio pasipo kupokea maelekezo ya mmiliki na siku zote mashambulizi yao huwa yanaacha serious injuries au death kwasababu huwa wanacheza na sehemu muhimu

Hii imepelekea kuna baadhi ya nchi kama Malaysia, Singapore na Ireland sheria haziruhusu mtu binafsi mbwa wa aina hiyo. Wataalamu wanashauri ni hatari kwa first time owner kumiliki mbwa wa aina hii

Kwahyo mkuu kwa ushauri kama unataka breed za nje ni bora uchukue German shepherd. Ila pitbull utasababisha majanga kwa familia.
 
Usisikilize ya watu kwani huyu kiumbe mimi huwa namfananisha na black mamba kwa nyoka.
Kuna familia nakumbuka walikuwa sio mbali sana na nilipokuwa naishi miaka ya nyuma (sio tz)
Walikuwa na hili jibwa la kutisha walizoeana mpaka mtoto wao wa miaka 2 akawa anacheza nae, basi siku moja walimuacha mtoto akiwa anacheza nae garden ya nyuma wakasikia kelele
Kuja kutahamaki pit bull alikuwa anamchana chana kama toy.
Na huo ukawa mwisho wa uhai wa mtoto na mbwa aliuwawa na police.

Sikutishi ila sasa huku niliko ni lazima umsajili kama utapata kibali na pia lazima umuwekee insurance kama likitokea jambo fidia ipatikane na la muhimu zaidi ambayo ni lazima kila wakati uwe umemfunga chain au kamba na mdomo ukiwa umefungwa kama picha inavyoonyesha.

Hawa sio mbwa kaa nao mbali tafuta wengine View attachment 887496
Duh! Ahsante,nimeelewa mkuu. Vp kuhusu German Shepherd?
 
Nachokushauri usije kujaribu kununua mbwa aina ya Pitbill, hakuna mbwa hatari duniani kama huyo hata baadhi ya nchi ni marufuku kufuga. Anatumika kuwindia ay kupiganisha na mbwa wengine kwenye mashindano. Hafai kufugwa, wazungu wenyewe wanamfunga mdomo kwa kifuniko cha wavu kisa balaa lake.
Chunga sana mkuu.

Si hao tu hata Rottweiler usijiloge kununua, mbwa huyo anaweza kuruka na kuvuta koo la binadamu kwa meno. Anaua mtu.

Nunua German stepherd ndiyo akapewe mafunzo, huyo ni hatari ila kidogo ana nafuu akiwa na mafunzo si hatari.

Pitbull na Rottweiler hata wawe na mafunzo ni hatari kwa binadamu vilevile.
Duh! Nashukuru mkuu
 
Kulingana na report za hawa jamaa wanaojiita inside dog world mashambulio mengi ya mbwa dhidi ya binadamu yanasababishwa na hawa pitbulls

Wanasema mbwa hao ni hatari sana kwasababu wako powerful na bites zao sio za kawaida. Pia hawatabiriki kwani wana independent decision yani wanatabia ya kufanya maamuzi au shambulio pasipo kupokea maelekezo ya mmiliki na siku zote mashambulizi yao huwa yanaacha serious injuries au death kwasababu huwa wanacheza na sehemu muhimu

Hii imepelekea kuna baadhi ya nchi kama Malaysia, Singapore na Ireland sheria haziruhusu mtu binafsi mbwa wa aina hiyo. Wataalamu wanashauri ni hatari kwa first time owner kumiliki mbwa wa aina hii

Kwahyo mkuu kwa ushauri kama unataka breed za nje ni bora uchukue German shepherd. Ila pitbull utasababisha majanga kwa familia.
Nashukuru kwa ushauri mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom