IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 799
Wadau wa elimu, napigia debe shule moja ya sekondari iliyopo Mbeya jijini. ITENDE SEC. SCHOOL
Mawasiliano; kihegam@gmail.com utende2011@yahoo.com; 0652-656565, 0756-629094
- Ni shule ya wasichana na wavulana
- Ni ya kutwa na hosteli ndani ya shule
- Imeanzishwa tangu 1992
- Ina O & A levels
- O level-masomo ya ARTS & SAYANSI
- A level-michepuo HGL, HKL, HGK & HGE
- A level ilianza 2009 na inafanya vema ( 2012 ya 5 kimkoa, 40 kitaifa)
- ADA kutwa ni sh 400,000 (inalipwa kwa awamu mbili 250,000/150,000)
- ADA ya kutwa pamoja na HOSTELI ni sh 900,000 ( inalipwa 500,000/400,000)
- NAFASI za kuhamia januari 2013 zipo; kidato cha 1, 2, 3, 4, 5 & 6
- KUANZIA JANUARI 15, HADI APRIL 30 2013 KUTAKUWA NA MASOMO YA PRE-FORM 5 KWA ADA YA SH. 80,000 KWA KIPINDI CHOTE na WATAKAO TAKA HOSTELI WATALIPA 180,000 KWA KIPINDI CHOTE.
- WATAKAO SOMA PRE-FORM 5 na ikatokea wakaendelea na FORM 5 HAPA SHULE WATAPEWA PUNGUZO LA ADA ( 350,000 SH badala ya 400,000 sh).
- shule ipo mazingira tulivu ya kujisomea, pia nje kidogo ya pilikapilika za jijini.
Mawasiliano; kihegam@gmail.com utende2011@yahoo.com; 0652-656565, 0756-629094