sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Hata mimi mwenyewe nimesoma shule za private lakini nina marafiki wengi waliosoma serikali, so nayaongea haya nikiwa nawajua wahusika.
Binafsi kwenye shule za msingi na o leve nimesoma za private, msingi nimesoma day ada ilikuwa laki 2 mwaka 2003 (kwa sasa ni milioni 1), o level sekondari ada iliku milioni 1 na nusu 2007 (kwa sasa milioni 3 na laki 2), A level nilisoma shule ya private ila hizi za ada ya kawaida
Marafiki zangu wengi wa shule ya msingi na o level hadi sasa hawajaoa, lakini marafiki zangu wengi wa A level na niliowajua wa shule za serikalini karibu wote wameoa tena mapema sana.
Nilichogundua ni kwamba wanaogopa watoto wao wataishi maisha ya chini kuzidi wao
Mtu anapiga hesabu kwamba yeye alisomeshwa private ya bei, anajiona kwa hali yake mtoto itabidi aende shule za serikali, hii inakuwa aibu sana kwake, yeye hajawahi kushika hata kidumu lakini akianza kufikiria mtoto wake aanze kubeba kidumu ni stress tupu.
Unakuta wazazi walikuwa wameajiriwa sehemu zenye mishahara mizito ama wana biashara nzuri lakini wao wapo ajira za mishahara ya laki 7 ama biashara za kawaida, ni stress juu ya stress wakianza kufikiria kuwapitisha watoto misoto ambayo wao hawakuwahi kuijua
Binafsi kwenye shule za msingi na o leve nimesoma za private, msingi nimesoma day ada ilikuwa laki 2 mwaka 2003 (kwa sasa ni milioni 1), o level sekondari ada iliku milioni 1 na nusu 2007 (kwa sasa milioni 3 na laki 2), A level nilisoma shule ya private ila hizi za ada ya kawaida
Marafiki zangu wengi wa shule ya msingi na o level hadi sasa hawajaoa, lakini marafiki zangu wengi wa A level na niliowajua wa shule za serikalini karibu wote wameoa tena mapema sana.
Nilichogundua ni kwamba wanaogopa watoto wao wataishi maisha ya chini kuzidi wao
Mtu anapiga hesabu kwamba yeye alisomeshwa private ya bei, anajiona kwa hali yake mtoto itabidi aende shule za serikali, hii inakuwa aibu sana kwake, yeye hajawahi kushika hata kidumu lakini akianza kufikiria mtoto wake aanze kubeba kidumu ni stress tupu.
Unakuta wazazi walikuwa wameajiriwa sehemu zenye mishahara mizito ama wana biashara nzuri lakini wao wapo ajira za mishahara ya laki 7 ama biashara za kawaida, ni stress juu ya stress wakianza kufikiria kuwapitisha watoto misoto ambayo wao hawakuwahi kuijua