Shule mbeya mjini

Shule mbeya mjini

Shule yenu ni bomu kweli, yaani wanafunzi wanafeli hata kozi za awali kabisa za kompyuta, loooo, aibuuu

Ni mmoja kati ya wasio elewa maana ya promo hii. We unaleta itikadi zako, nani kafeli Computer course! penye kila mafunzo kuna viwango vya kufanikiwa na inatokea wengine wakafeli!! umesoma chuo kikuuu wewe, labda huna experience ya haya nisemayo!! ENDELEA NA UELEWA WAKO HUOHUO, WAPO WATAKAO KUUNGA MKONO NA WAPO WENYE AKILI PEVU ZAIDI!
 
Teh teh teh!!! inaonekana mkuu IPILIMO hutaki kabisa watu watoe experience zao na hata criticism kidogo hutaki ila wewe wataka positive portrayal tu ya biashara yako. 10% hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
he!!! halafu nilisahau kuuliza hivi pale wana marketing manager?? nadhani huyo ndio wewe sasa.
 
Back
Top Bottom