Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #141 Mwana iyunga karibu sana. Bado sijaona Mwana iyunga Class of 2010 dawa yenu said: Sio dampo ila haina lolote zaidi ya maji machafu yaliyotuama... Anyway nimeimis Sana shule yangu Click to expand...
Mwana iyunga karibu sana. Bado sijaona Mwana iyunga Class of 2010 dawa yenu said: Sio dampo ila haina lolote zaidi ya maji machafu yaliyotuama... Anyway nimeimis Sana shule yangu Click to expand...
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #142 Hazchem plate said: Ko ni kama Kyege ( Mwakasege) Click to expand... Huyo Teacher poa Sana, hadi leo tupo nae group whatapp tuliomaliza form four 2009
Hazchem plate said: Ko ni kama Kyege ( Mwakasege) Click to expand... Huyo Teacher poa Sana, hadi leo tupo nae group whatapp tuliomaliza form four 2009
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #143 Ohoooo. Mm nilimaliza 2010 dawa yenu said: Huyo Teacher poa Sana, hadi leo tupo nae group whatapp tuliomaliza form four 2009 Click to expand...
Ohoooo. Mm nilimaliza 2010 dawa yenu said: Huyo Teacher poa Sana, hadi leo tupo nae group whatapp tuliomaliza form four 2009 Click to expand...
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #144 Hazchem plate said: Sanaaaa. Ukiwa cattle boma lazima unywe uji wa maziwa. Click to expand... Washkaji wa cattle boma walikuwa wanaruhusiwa kuvusha nyali
Hazchem plate said: Sanaaaa. Ukiwa cattle boma lazima unywe uji wa maziwa. Click to expand... Washkaji wa cattle boma walikuwa wanaruhusiwa kuvusha nyali
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #145 Hazchem plate said: Ohoooo. Mm nilimaliza 2010 Click to expand... Hahaha kumbe nilikuacha pale. Unalikumbuka gazeti la shule? Unamkumbuka muandishi wa lile gazeti?
Hazchem plate said: Ohoooo. Mm nilimaliza 2010 Click to expand... Hahaha kumbe nilikuacha pale. Unalikumbuka gazeti la shule? Unamkumbuka muandishi wa lile gazeti?
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #146 Ahaahah walikuwa na maisha fulani mazuri. Full kushindilia dawa yenu said: Washkaji wa cattle boma walikuwa wanaruhusiwa kuvusha nyali Click to expand...
Ahaahah walikuwa na maisha fulani mazuri. Full kushindilia dawa yenu said: Washkaji wa cattle boma walikuwa wanaruhusiwa kuvusha nyali Click to expand...
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #147 Naniiiii Metho??? dawa yenu said: Hahaha kumbe nilikuacha pale. Unalikumbuka gazeti la shule? Unamkumbuka muandishi wa lile gazeti? Click to expand...
Naniiiii Metho??? dawa yenu said: Hahaha kumbe nilikuacha pale. Unalikumbuka gazeti la shule? Unamkumbuka muandishi wa lile gazeti? Click to expand...
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #148 Hazchem plate said: Naniiiii Metho??? Click to expand... Hahaha hapana ila ni vizuri ukiwa hukumbuki ili identity yangu iendelee kuwa anonymous...... Ila nilikuwa naishi bweni la Mkwawa chembani
Hazchem plate said: Naniiiii Metho??? Click to expand... Hahaha hapana ila ni vizuri ukiwa hukumbuki ili identity yangu iendelee kuwa anonymous...... Ila nilikuwa naishi bweni la Mkwawa chembani
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #149 Hazchem plate said: Ahaahah walikuwa na maisha fulani mazuri. Full kushindilia Click to expand... Halafu wanajidai kinoma, walikuwa wanaishi kikabila wote wasafwa
Hazchem plate said: Ahaahah walikuwa na maisha fulani mazuri. Full kushindilia Click to expand... Halafu wanajidai kinoma, walikuwa wanaishi kikabila wote wasafwa
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #150 . Aisee watu mbona mnalinda sana iD zenu. Mnataka mfanye ujambazi nn dawa yenu said: Hahaha hapana ila ni vizuri ukiwa hukumbuki ili identity yangu iendelee kuwa anonymous...... Ila nilikuwa naishi bweni la Mkwawa chembani Click to expand...
. Aisee watu mbona mnalinda sana iD zenu. Mnataka mfanye ujambazi nn dawa yenu said: Hahaha hapana ila ni vizuri ukiwa hukumbuki ili identity yangu iendelee kuwa anonymous...... Ila nilikuwa naishi bweni la Mkwawa chembani Click to expand...
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #151 Ahaahh kama ulikuwepo yani. Kama hutokei mbalizi au umalila hukai cattle boma kabisa dawa yenu said: Halafu wanajidai kinoma, walikuwa wanaishi kikabila wote wasafwa Click to expand...
Ahaahh kama ulikuwepo yani. Kama hutokei mbalizi au umalila hukai cattle boma kabisa dawa yenu said: Halafu wanajidai kinoma, walikuwa wanaishi kikabila wote wasafwa Click to expand...
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #152 Hazchem plate said: . Aisee watu mbona mnalinda sana iD zenu. Mnataka mfanye ujambazi nn Click to expand... identity humu ndio kila kitu ndio ujue still watu hatupo free kabisa yaani
Hazchem plate said: . Aisee watu mbona mnalinda sana iD zenu. Mnataka mfanye ujambazi nn Click to expand... identity humu ndio kila kitu ndio ujue still watu hatupo free kabisa yaani
Vupu JF-Expert Member Joined Aug 1, 2016 Posts 1,769 Reaction score 1,252 May 24, 2019 #153 iko mbeya
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #154 Ahahahha. Kweli aiseee. Ila when comes to business lazima uwe visible dawa yenu said: identity humu ndio kila kitu ndio ujue still watu hatupo free kabisa yaani Click to expand...
Ahahahha. Kweli aiseee. Ila when comes to business lazima uwe visible dawa yenu said: identity humu ndio kila kitu ndio ujue still watu hatupo free kabisa yaani Click to expand...
dawa yenu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 2,829 Reaction score 3,733 May 24, 2019 #155 Hazchem plate said: Ahaahh kama ulikuwepo yani. Kama hutokei mbalizi au umalila hukai cattle boma kabisa Click to expand... Hatari Sana.... Table leader ni watu wengine walioishi maisha mazuri, Mkapa bweni la masharobaro, Luthuli waliopinda
Hazchem plate said: Ahaahh kama ulikuwepo yani. Kama hutokei mbalizi au umalila hukai cattle boma kabisa Click to expand... Hatari Sana.... Table leader ni watu wengine walioishi maisha mazuri, Mkapa bweni la masharobaro, Luthuli waliopinda
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,515 May 24, 2019 #156 Ahaha. Ukikaa luthuli lazima ule bange dawa yenu said: Hatari Sana.... Table leader ni watu wengine walioishi maisha mazuri, Mkapa bweni la masharobaro, Luthuli waliopinda Click to expand...
Ahaha. Ukikaa luthuli lazima ule bange dawa yenu said: Hatari Sana.... Table leader ni watu wengine walioishi maisha mazuri, Mkapa bweni la masharobaro, Luthuli waliopinda Click to expand...
Msitari wa pambizo JF-Expert Member Joined Sep 25, 2014 Posts 3,098 Reaction score 5,466 May 24, 2019 #157 Mazigazi said: We umesoma wapi kwani Click to expand... Sijaenda shule kabisa
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 23,261 Reaction score 28,422 May 25, 2019 Thread starter #158 Mazigazi said: Mkuu dispensary ilikuwa bweni LA Benjamin mkapa Lile lenye vyemba vizuri liko kati ya shaban Robert na Luthuli Click to expand... Dispensari imekuwa bweni! Inamaana shule imepiga hatua kubwa kutokomeza maradhi hivyo hakuna wanafunzi wanaougua! Safi sana, natamani nirudi.
Mazigazi said: Mkuu dispensary ilikuwa bweni LA Benjamin mkapa Lile lenye vyemba vizuri liko kati ya shaban Robert na Luthuli Click to expand... Dispensari imekuwa bweni! Inamaana shule imepiga hatua kubwa kutokomeza maradhi hivyo hakuna wanafunzi wanaougua! Safi sana, natamani nirudi.
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 23,261 Reaction score 28,422 May 25, 2019 Thread starter #159 Geniustin said: Yap...nimekumbuka. Ndo waliamua kuigeuza iwe Bweni, kea kuanzia wakaanza kuwaweka wanafunzi wa Advance. Click to expand... Bora wangefanya kituo cha afya, waafrika sijui tukoje! Jengo lilijengwa kihospitali likiwa na attachment ya makazi ya mhudumu wa kituo.
Geniustin said: Yap...nimekumbuka. Ndo waliamua kuigeuza iwe Bweni, kea kuanzia wakaanza kuwaweka wanafunzi wa Advance. Click to expand... Bora wangefanya kituo cha afya, waafrika sijui tukoje! Jengo lilijengwa kihospitali likiwa na attachment ya makazi ya mhudumu wa kituo.
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 23,261 Reaction score 28,422 May 25, 2019 Thread starter #160 Mazigazi said: Sio mbeya day hio Click to expand... Mbele ya Mbeya Day kuelekea makaburini ukipita uwanja wa mpira wa zamani kabla ya kufika mabatini.
Mazigazi said: Sio mbeya day hio Click to expand... Mbele ya Mbeya Day kuelekea makaburini ukipita uwanja wa mpira wa zamani kabla ya kufika mabatini.