Shule hii Mbeya iko wapi?

. Aisee watu mbona mnalinda sana iD zenu. Mnataka mfanye ujambazi nn
Hahaha hapana ila ni vizuri ukiwa hukumbuki ili identity yangu iendelee kuwa anonymous...... Ila nilikuwa naishi bweni la Mkwawa chembani
 
Ahaahh kama ulikuwepo yani. Kama hutokei mbalizi au umalila hukai cattle boma kabisa
Hatari Sana.... Table leader ni watu wengine walioishi maisha mazuri, Mkapa bweni la masharobaro, Luthuli waliopinda
 
Mkuu dispensary ilikuwa bweni LA Benjamin mkapa
Lile lenye vyemba vizuri liko kati ya shaban Robert na Luthuli
Dispensari imekuwa bweni! Inamaana shule imepiga hatua kubwa kutokomeza maradhi hivyo hakuna wanafunzi wanaougua! Safi sana, natamani nirudi.
 
Yap...nimekumbuka.
Ndo waliamua kuigeuza iwe Bweni, kea kuanzia wakaanza kuwaweka wanafunzi wa Advance.
Bora wangefanya kituo cha afya, waafrika sijui tukoje! Jengo lilijengwa kihospitali likiwa na attachment ya makazi ya mhudumu wa kituo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…