Shule bora za Serikali, enzi hizo

Shule bora za Serikali, enzi hizo

babumapunda

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
4,644
Reaction score
3,314
  • Mzumbe Secondary
  • Ilboru Secondary
  • Kibaha Secondary
  • Tabora Boys Secondary
  • Tabora Girls Secondary
  • Msalato Secondary
  • Kilakala Secondary
  • Pugu Secondary
  • Minaki Secondary
  • Azania Secondary
  • Tosamaganga Secondary
  • Mkwawa Secondary (Casino)
  • Milambo Secondary
  • Mazengo Secondary
  • Tanga Technical Secondary
  • Galanos Secondary
  • Magamba Secondary
  • Kibiti Secondary
  • Shycom
  • Kigoma Secondary
  • Sengerema Secondary
  • Kantalamba Secondary
  • Jangwani Secondary
  • Malangali Secondary
  • Forodhani Secondary
  • Nsumba Secondary
  • Bwiru Boys Technical
  • Bwiru Girls Secondary
  • Nganza Secondary
  • Mwanza Secondary
  • Arusha Secondary
  • Umbwe Secondary
  • Machame Girls
  • Weruweru Girls
  • Moshi Technical
  • Iyunga Technical
  • Ifunda Technical
  • Kigonsera Secondary
  • Songea Boys Secondary
  • Bihawana Secondary
  • Mwenge Secondary
  • Shybush Secondary
  • Mwanza Secondary
  • Mara Secondary
  • Musoma Alliance
  • Tarime Secondary
  • Ihungo Sekondary
  • Usagara Secondary
  • Old Moshi Secondary
  • Kwiro Secondary
  • Same Secondary
  • Tambaza Secondary

Kama haumo humo jua wewe ulikuwa kilaza. Kwi!

Kwi! Kwi!
 
Hahahaaaa naiona Magamba Boyz hapo. Safi sana. Haya Gambian Boyz kujeni huku akina Mbunge Mtarajiwa Mohamedi Mtoi
 
Last edited by a moderator:
Embu acha izo mwanawane unanikumbusha mkuu mmoja anaitwa Mbanga, nyie acheni bana. Embu lowassa aingie mdarakani aturejeshee mashule dezaini hii maana naskia jamaa kapania kweli..
 
...kaangalie kwenye matokeo ya form six ya mwaka jana au juzi nadhani hakuna hata moja ya hizo kwenye 50 bora. Ilboru ni ya hamsini na tatu na ndo inawaongoza Wa serikalini. Ingawa Mimi nimo katiyazo, hamnamo kitu anymore....
 
Mie Nilisoma shule bora East Africa Budo Secondary School ipo Kampala hujaiweka mkuu japo Primary nilifaulu kwenda kweny moja ya shule tajwa hapo juu.Mwaka Jana Tambaza ilikuwa ya tatu kutoka mwisho matokeo ya kidato cha Sita eti nayo asopita hapo ni Kilaza mi nadhani walopita hapo ndo vilaza. Mnyika alitoka na one kali sana seminary akatia maguu Tambaza form six akala three.
 
Where is Feza school, Marian schools? Mleta uzi umecopy vibaya huko ulipotoa.
 
Hebu ongezea Jumuiya secondary school Tanga na Kinondoni Muslim
 
na ww ni kilaza utaiachaje njombe boys..njoss ina miaka zaidi ya babu yako mkuu

Nashangaa cjui anaiachaje NJOSS. Ilikua maarufu sn mkoa wa iringa, Tosa na ifunda zilkua haziifikii Njoss. Km nauona ivi msitu wa ndovu apo nalala dom3 gorofan kabsaa
 
Hahahaahahaha!ungesema ambao hawajawahi kuchaguliwa shule hizo...kuna wengine Waseminari ambao waliwahi kuchaguliwa na wakazitosa hizo shule ngumu.
 
Embu acha izo mwanawane unanikumbusha mkuu mmoja anaitwa Mbanga, nyie acheni bana. Embu lowassa aingie mdarakani aturejeshee mashule dezaini hii maana naskia jamaa kapania kweli..

Hata mimi namkumbuka Mbanga pale shybush.Na mzee mmoja anaitwa Mungo kule Tarime!
 
Mie Nilisoma shule bora East Africa Budo Secondary School ipo Kampala hujaiweka mkuu japo Primary nilifaulu kwenda kweny moja ya shule tajwa hapo juu.Mwaka Jana Tambaza ilikuwa ya tatu kutoka mwisho matokeo ya kidato cha Sita eti nayo asopita hapo ni Kilaza mi nadhani walopita hapo ndo vilaza. Mnyika alitoka na one kali sana seminary akatia maguu Tambaza form six akala three.
Mkuu...
Kweli wewe hukufaa kuingia kwenye hii list,unaleta hoja kwa mbwembwe bila kufikiria kuwa shule zoote tajwa hapo juu ni kutoka TZ...uganda inaingiaje hasa....!!???
Kweli ww ni k.l.z!!!!
 
Back
Top Bottom