Smile asante sana
Kila jambo lina wakati wake na unapokumbuka kurudisha shukrani ni jambo jema sana
Asante sana kwa yote na Mwenyezi Mungu akubariki katika yote
Oh very sorry for the death of yr mom,japo wengine hatukuipata hiyo habari lakini tunaamini bado pole zetu zitakufariji.Jipe moyo na mshukuru mungu kwani hukupa umuombavyo na usivyomuomba pia,JF is another home for everyone except hao wanaoingia kwa kutumwa kazi maalum lakini kama uliingia kwa utashi wako utapata many friendz wasio na kikomo cha keyboard tu.Pamoja!!
Smile,
You are a friend, you are a sister,
you are a family member, you are a partner,
above all, you are part of JF where we dare to talk, love and care,
always remember, in here you got friends,
friends who will stand for you all the times.
R,I.P mama Smile and may Almighty grant you an eternal rest in his arms
Mungu ambaye ndiye mfariji wetu azidi kukufariji kila iitwapo leo na azidi kukubariki.
Duniani wote tu wasafiri ni suala la wakati tu na nani atamtangulia mwenzake. Karibu tena JF!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.