Shukrani za dhati kwa WANAJAMII WOTE

Pole sana mamito... Mwenyezi Mungu aendelee kukutia nguvu na karibu tena jamvini!!!!!
 
Smile asante sana
Kila jambo lina wakati wake na unapokumbuka kurudisha shukrani ni jambo jema sana
Asante sana kwa yote na Mwenyezi Mungu akubariki katika yote
 
Last edited by a moderator:
Karibu sana Smile. Mungu awe nawe daima na akukumbuke katika kila jambo!

Stay blessed!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana Smile,mungu akupe nguvu ili eundelee na maisha yako kama kawaida!!!
 
Last edited by a moderator:
u're welcome smile,always tuko pamoja,Mungu akupe moyo wa uvumilivu na hekima tele
 
Brother Nicas Mtei...why do i smell something here!???


Anyway..ngoja niseme AMEN to dada Smile's blessings!

Ubarikiwe na wewe pia...
 
Last edited by a moderator:
Oh very sorry for the death of yr mom,japo wengine hatukuipata hiyo habari lakini tunaamini bado pole zetu zitakufariji.Jipe moyo na mshukuru mungu kwani hukupa umuombavyo na usivyomuomba pia,JF is another home for everyone except hao wanaoingia kwa kutumwa kazi maalum lakini kama uliingia kwa utashi wako utapata many friendz wasio na kikomo cha keyboard tu.Pamoja!!
 
Smile,
You are a friend, you are a sister,
you are a family member, you are a partner,
above all, you are part of JF where we dare to talk, love and care,
always remember, in here you got friends,
friends who will stand for you all the times.

R,I.P mama Smile and may Almighty grant you an eternal rest in his arms
 
Last edited by a moderator:

You are so dear to me
You know I will love you until the end
I will always be there for you, and
You will always (and forever) be my best friend

Smile....do we need tragedies to remind ourselves of what we know..................please continue to love me unconditionally.........
 
Last edited by a moderator:
Mungu ambaye ndiye mfariji wetu azidi kukufariji kila iitwapo leo na azidi kukubariki.
Duniani wote tu wasafiri ni suala la wakati tu na nani atamtangulia mwenzake. Karibu tena JF!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom