GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,117
Haingii Akilini na pia si tu ni Ushamba pia ni Upumbavu ( Ujuha ) Watu tuko Ukumbini tena Karimjee Hall Msibani halafu Askari FFU Mwenye Silaha yake ya Kivita na Makolokolo yake Mwilini mwake akiwa ameielekezea Kwetu Waombolezaji huku akiwa Katukunjia Sura yake utadhani labda tuna Ugomvi nae.
Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni Oky?
Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni Oky?