Shukran Waziri Mkuu Majaliwa kujumuika nasi Karimjee Hall Kumuaga Wakili Mzee Mkono, ila hiki cha FFU wako sijakipenda

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,117
Haingii Akilini na pia si tu ni Ushamba pia ni Upumbavu ( Ujuha ) Watu tuko Ukumbini tena Karimjee Hall Msibani halafu Askari FFU Mwenye Silaha yake ya Kivita na Makolokolo yake Mwilini mwake akiwa ameielekezea Kwetu Waombolezaji huku akiwa Katukunjia Sura yake utadhani labda tuna Ugomvi nae.

Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni Oky?
 
Haingii Akilini na pia si tu ni Ushamba pia ni Upumbavu ( Ujuha ) Watu tuko Ukumbini tena Karimjee Hall Msibani halafu Askari FFU Mwenye Silaha yake ya Kivita na Makolokolo yake Mwilini mwake akiwa ameielekezea Kwetu Waombolezaji huku akiwa Katukunjia Sura yake utadhani labda tuna Ugomvi nae.

Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni.
Poleni kwa msiba Mkuu

Nadhani hao maaskari bado hawaacha tabia waliyoianzisha mwaka 2016 ya kulinda viongozi na mabunduki utasema wako vitani.

Anyways labda wamegundua Tanzania haina amani🙌
 
Sijaenda Msibani ( Mazikoni ) ila Mzee wangu na Wazee wangu Walezi Butiku na Wassira na Dada yangu wameenda.

GENTAMYCINE nilibakia Dar es Salaam kwa Kazi Maalum ya kuleta Utulivu ulioko sasa nchini kwa Mwarabu Kushinda na Kumletea Mvua ambayo Adui yake ilimshinda na Kufungwa Goli 2 Safi kwa lao 1 walilolishabikia kwa Sekunde 10 tu
Nakushukuru sana kwa kuhakikisha noise pollution imeisha kitaa na watu wanalala mapema. Hiyo mvua inabidi ihamie pia kule Algiers maana Watopolo wamesema wameshtukia janja yako, so wataenda kupindulia meza kule kule Uarabuni.
 

Attachments

  • FxOc9soWYAgKguM.jpeg
    FxOc9soWYAgKguM.jpeg
    43.7 KB · Views: 1
Haingii Akilini na pia si tu ni Ushamba pia ni Upumbavu ( Ujuha ) Watu tuko Ukumbini tena Karimjee Hall Msibani halafu Askari FFU Mwenye Silaha yake ya Kivita na Makolokolo yake Mwilini mwake akiwa ameielekezea Kwetu Waombolezaji huku akiwa Katukunjia Sura yake utadhani labda tuna Ugomvi nae.

Haiboi tu bali Inakera. Badilikeni Oky?
Genta! Nchi hii ina upuuzi mwingi Sana!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa kafa mwezi mzima watu wanazurura tuu na maiti , daah waislamu chukeni maua yenu tuu hamna namna
Nazani walikua hawaamini Kama kweli kafa, ndiyo maana wakawa wanajaribu ku buy time ili waone Kama anaweza aamkaa kutoka usingizini!!
 
Poleni. Hatimaye mmefanikisha kuuleta mwili?.

Hii ya mitutu sema tu wangekaa mbali kidogo, unaona nchi ilivyo vululuvululu, kuuleta huo mwili tu itakuwa imetumika nguvu ya ziada, mengine huwa top secret.

Mambo ni mengi.

Poleni once again.
 
Nazani walikua hawaamini Kama kweli kafa, ndiyo maana wakawa wanajaribu ku buy time ili waone Kama anaweza aamkaa kutoka usingizini!!
Usinikumbushe ya Mwalimu Nyerere na Kingunge kule uingereza. Let them Rest Well.
 
Nilikaa ule upande lilipokuwa Gari la Kubeba Jeneza mbele yangu walikuwepo Wadada Wawili Warembo ambapo nilitaka Kuwatongoza Wote kwa nyakati tofauti tofauti ila nilipodokezwa tu kuwa kumbe ni Mahakimu Waandamizi nia yangu ya Kuwatongoza ikatoweka ghafla kwani kwa mbali nilianza kuyaona katika Fikra Magereza ya Ukonga, Keko na Segerea na kuhisi huenda ningewatongoza wangekereka wangenisweka huko na JamiiForums nikawa naisikia katika Bomba tu.
Haaaaaaa ahaaaaaa JF oyeee
 
Wakipata hela wanakimbili ulaya wakifa wanarudishwa Africa,
Alafu maendeleo walete wawekezaji kazi kweli.
 
Back
Top Bottom