Kutokuelewa swali au maelezo fulani ni jambo la kawaida bibie. Ila kukubali kama hujaelewa kweli ni hatua katika kujifunza na kuongeza maarifa.
Sababu umekataa nisikuulize swali,basi sikuulizi swali.
Ndio maana huwa sipendi kujadiliana mambo na watoto ya kike,huwa napata shida kuwachagulia maneno laini ya kujadiliana nao,sababu ukikosea katika kuchagua maneno,hata ujumbe uliokusudia kuufikisha unaweza usifike. Mwisho wa siku huwa nakubali maamuzi yao. Kama wewe hapa ulivyo sema nisikuulize swali,nimetii kauli yako.