Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

huyo hajaolewa mtaani anafahamika ni kugawa tu k
 
Hahaahaa. Wacha weeee.

Mtani kumbe na weye hii tabia unayo eeee.
me ni salam tu baada ya hapo naweka earphones kwa my ears sipendagi kuzoeana na wadada tukiwa kwenye gari, ila mwanaume mwenzangu story mwanzo mwisho
 
😂😂😂😂😂 kumbe na wewe ndio wale wale waimbishaji eeee?
Lengo ni safari iwe fupi bila kujali tunaongea issue gani. Ujue unaweza kujifanya uko sana busy inafikia muda unahitaji msaada ukashindwa pakuazia.

Nb: Vipi Ushawahi Kuimbishwa?.
 
Lengo ni safari iwe fupi bila kujali tunaongea issue gani. Ujue unaweza kujifanya uko sana busy inafikia muda unahitaji msaada ukashindwa pakuazia.

Nb: Vipi Ushawahi Kuimbishwa?.
Duu! Kumbe maongezi yanafupisha safari eee?

Hahahaaa. Bado
 
Kama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro

Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao

Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote

Masela Kusaidiana bana.


Wacha umbea kijana wa Dar, demu ama mtu yeyote awapo safarini yupo huru kula ma kuliwa. Wacha kuwatia watu presha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom