Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

Jiran kwani ukiwa kwenye uhusiano ndio unafunga vioo?? Hahahah unatakiwa ufungue vioo uangalie the best zaidi.

Japo mie nimefunga vioo. ]]]
Sasa uvifungue vya nini jirani.

Wachaaaaa. Kumbe eee? Haya fungaga hivyo hivyo jirani.
 
Sioni tatizo hapo, mapenzi huanzia mahala popote haijalishi mlikutana wapi siku ya kwanza.......iwe kwneye basi,mtaani,kwenye matamasha,kwenye tafrija ,humu jf nk cha msingi kila mmoja anajaribu bahati yake....
Wengine wanakuwaga na mahusiano yao tayari Mkuu ila wanapata au kutoa mitongozo kwa wengine wakati wa kusafiri.

Hii imekaaje?
 
Hahahaaaa. Wataka mdada wa watu aangukiwe na jumba bovu.

Huwa naona mie pia ila sijui kwa nini hii tabia ipo na sijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke maana waeza kuta ni katoto kanaenda shule na kamevaa sketi ya shule ila unakuta kanagandana na mtu kisa tu kakaa naye siti moja.

Ila hebu tujadili Wadau dawa ya hii kitu ni nini? Na ni nini inasababisha hii kitu?

Japo tusihalalishe kwamba wote wanaopeana namba lengo ni mapenzi.
wakati mwingine upande mmoja unajikuta una stress sasa abiria mwenzake akiweza kuonekana anaweza kupunguza stress zake basi ndo michakato ya mapenzi inaanza.
ila ni mapenzi fulani ya kijinga na huwa hayana maisha kwa pande zote mbili zaidi ya show na kuachana na wakati mwingine unaweza usitoe hata kitu.
 
Hahahaaaa. Wataka mdada wa watu aangukiwe na jumba bovu.

Huwa naona mie pia ila sijui kwa nini hii tabia ipo na sijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke maana waeza kuta ni katoto kanaenda shule na kamevaa sketi ya shule ila unakuta kanagandana na mtu kisa tu kakaa naye siti moja.

Ila hebu tujadili Wadau dawa ya hii kitu ni nini? Na ni nini inasababisha hii kitu?

Japo tusihalalishe kwamba wote wanaopeana namba lengo ni mapenzi.
Mpka kulishana jamani...
 
wakati mwingine upande mmoja unajikuta una stress sasa abiria mwenzake akiweza kuonekana anaweza kupunguza stress zake basi ndo michakato ya mapenzi inaanza.
ila ni mapenzi fulani ya kijinga na huwa hayana maisha kwa pande zote mbili zaidi ya show na kuachana na wakati mwingine unaweza usitoe hata kitu.
Umeona Mkuu japokuwa nishawahi pata storry kuna wale wa safari za mbali zile za kulala njiani wanafikia hatua ya kulalan* kabisa.

Mie pia siyaafiki kwa kweli maana waeza kuta Me anamdanganya mwanamke kwa muda tu ili kuondoa hizo tunazoziita stress na unakuta hana nia yeyote nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom