Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

Maana Me wengine akipewa namba tu anahesabu ushindi😀😀😀
Kuna wale wasumbufu na wengine ving'ang'anizi wasiojua kukataliwa....hahahaaaa lakini wanume ndio tulivyo Hajar mtuvumiliage tu
Hahahaaa. Umeonaeee.

Japo kuna sehemu mtu kaandika kwamba kwa jinsi me anavyokuwa msumbufu saa nyingine Ke anashuka ambapo hakupatarajia kuepuka usumbufu japo naona sio dawa hiyo sababu mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa akubali.
 
Umeona Mkuu japokuwa nishawahi pata storry kuna wale wa safari za mbali zile za kulala njiani wanafikia hatua ya kulalan* kabisa.

Mie pia siyaafiki kwa kweli maana waeza kuta Me anamdanganya mwanamke kwa muda tu ili kuondoa hizo tunazoziita stress na unakuta hana nia yeyote nzuri.
miaka ya nyuma nilishawahi kukutana na hiyo changamoto nitakueleza vizuri baadaye hapa haikai
 
Hahahaaa. Umeonaeee.

Japo kuna sehemu mtu kaandika kwamba kwa jinsi me anavyokuwa msumbufu saa nyingine Ke anashuka ambapo hakupatarajia kuepuka usumbufu japo naona sio dawa hiyo sababu mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa akubali.
Haswaa mtu hashikiwi fimbo kulazimishwa

Tatizo la baadhi ya Ke wakitongozwa hua hawatoi jibu lililonyooka. Atajizunguusha wee na mwanaume anajua huyu ni staki nataka anaongeza speed ambapo sasa mwanamke anaona kama anasumbuliwa

Ukiona mwanamke katongozwa safarini halafu sijui kashuka kabda ya anapoenda ujue huyo hajiamini, anahisi kama jamaa akiendelea kidogo atajikuta anashindwa kumkatalia na ataishia kukulwa

Mwanamke anaejiamini anakujibu kistaarabu akiona huelewi anakupa makavu basi mwenyewe unarudi nyuma na mchezo unaishia hapo
 
Maana Me wengine akipewa namba tu anahesabu ushindi😀😀😀
Kuna wale wasumbufu na wengine ving'ang'anizi wasiojua kukataliwa....hahahaaaa lakini wanume ndio tulivyo Hajar mtuvumiliage tu
Asie jua kukataliwa kwa sisi wanaume tunasema huyo si mwanaume kamili,na kujitia umangungu wa kang'ang'ania ni kutojiamini.

Mimi mbona humu nimekataliwa mara kibao,nimekubali matokea.... Nacheka sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom