Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,095
- 122,455
Na kweli Cole.Unajua kama wewe ni penda penda popote utapenda tu ila kama una misingi yako story haziwezi kukuyumbisha
Na kweli Cole.Unajua kama wewe ni penda penda popote utapenda tu ila kama una misingi yako story haziwezi kukuyumbisha
Kesijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke
Hahaaa. Naona unawakingia kifua wanaume Shooo. Hivyo na wao kutongoza ni kawaida. 😂😂😂😂Tatizo ni mwanamke. Kutongozwa ni kawaida, sio lazima akubali. Japo kuna ndugu m1 alilalamika kuwa kuna wanaume wanajua kuimbisha ni hatari. Safari ya Mwanza to Dom waweza jikuta unateremka Singida (kwa mwanaume), ila ni hoja dhaifu
Kwa nini sasa awe Ke Mkuu na sio Me?
Unajua wanaume kutongoza ni kawaida sana sababu ya tamaa na kibaolojia, lakini pamoja na hayo huwa tunarequest sasa mwanamke ndio mwenye mamlaka ya kuapprove.Kwa nini sasa awe Ke Mkuu na sio Me?
Parapanda italiaa parapandaKama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro
Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao
Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote
Masela Kusaidiana bana.



Hahahaaa. Nimecheka sana kwa ulichokiandika ila sijuagi kwa nini huwa mnaisingizia hiyo sijui baiolojia.Unajua wanaume kutongoza ni kawaida sana sababu ya tamaa na kibaolojia, lakini pamoja na hayo huwa tunarequest sasa mwanamke ndio mwenye mamlaka ya kuapprove.
Ukhty wataka anzisha uzi ndani ya uzi?Hahahaaaa. Wataka mdada wa watu aangukiwe na jumba bovu.
Huwa naona mie pia ila sijui kwa nini hii tabia ipo na sijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke maana waeza kuta ni katoto kanaenda shule na kamevaa sketi ya shule ila unakuta kanagandana na mtu kisa tu kakaa naye siti moja.
Ila hebu tujadili Wadau dawa ya hii kitu ni nini? Na ni nini inasababisha hii kitu?
Japo tusihalalishe kwamba wote wanaopeana namba lengo ni mapenzi.



Hahahaaa. Sina kipaji cha kuanzisha uzi ujue. 🙈🙈🙈Ukhty wataka anzisha uzi ndani ya uzi?
Mungu anakuonaa
Kweli hili linachangia sana, hasa ukiona mwanamke ana kile kitu ambacho kina kuturn on haraka mfano; chura,kifua,miguu n.kbaiolojia
Aisee! Basi mi ni tatizo, unaweza kaa na Mimi siti moja hata safari iwe ya Massa kumi no story, yaani kuna kipindi huwa najishangaa, yaani hata ukinisemesha nitaona kama unanikera tu, huwa sipendi story sijui kwa nini...! Na nikikaa na Mwanamke ndo kabisaa... Afadhari mwanaume mwenzangu tunaweza ongea mawili matatu, lakini mwanamke huwa sitaki mazoea nao niwapo safarini, waifu mwenyewe kuna kipindi akiwa ananisemesha huwa namuweka wazi tu, "naomba uniache". Ye ataenda kuendelea na shughuli zake mi ananiacha ndaniHapo ni sawa kabisa. Maana kikawaida kama usemavyo huwezi safiri na mtu hata story isiwepo japokuwa mara nyingi zinakuwepo wakiwa jinsia mbili tofauti. 😂😂😂😂
Mie nshawahi safiri kwenda sehemu ila haikuwa safari ndefu ni kama masaa 6 hivi, nilikaa na mdada huyo ye yuko busy na simu yake mpaka tukafika aiseee.
Siwakingii kifua. Ila hatuwezi kataa wala kupinga kuwa mitongozo tunaipata sana. Iwe ni wakati wa kwenda vigengeni au masafa ya mbali. Mwanamke ndo anatakiwa ajitambue na kujithamini. Vinginevyo... Ni hasara kwa mume/mchumba. Kushuka njiani huu ni ujinga uliotukukaHahaaa. Naona unawakingia kifua wanaume Shooo. Hivyo na wao kutongoza ni kawaida.
Kikubwa wanawake tusiwape nafasi wanaume za huko kuimbishwa maana eti mtu anashuka njiani kisa mtu ambaye hata nauli hajamlipia. Duuuh.
Maajabu hayo kwani wanashikiwa fimbo?![]()
Kuna tofauti Kati ya Whatsoop na JFKama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro
Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao
Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote
Masela Kusaidiana bana.