Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

Mimi hapo kuna kitu sijakielewa maana hilo jina karijuaje kuwa ni brenda kama yeye hajanyimwa namba kaamua kuharibu kwa njia hii
 
Tatizo ni mwanamke. Kutongozwa ni kawaida, sio lazima akubali. Japo kuna ndugu m1 alilalamika kuwa kuna wanaume wanajua kuimbisha ni hatari. Safari ya Mwanza to Dom waweza jikuta unateremka Singida (kwa mwanaume), ila ni hoja dhaifu
Hahaaa. Naona unawakingia kifua wanaume Shooo. Hivyo na wao kutongoza ni kawaida. 😂😂😂😂

Kikubwa wanawake tusiwape nafasi wanaume za huko kuimbishwa maana eti mtu anashuka njiani kisa mtu ambaye hata nauli hajamlipia. Duuuh.

Maajabu hayo kwani wanashikiwa fimbo? 😂😂
 
Kama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro

Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao

Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote

Masela Kusaidiana bana.
Parapanda italiaa parapanda
 
Unajua wanaume kutongoza ni kawaida sana sababu ya tamaa na kibaolojia, lakini pamoja na hayo huwa tunarequest sasa mwanamke ndio mwenye mamlaka ya kuapprove.
Hahahaaa. Nimecheka sana kwa ulichokiandika ila sijuagi kwa nini huwa mnaisingizia hiyo sijui baiolojia.

Jitahidini kuizuia hiyo tamaa sababu si wanawake wote wanajuaga kukataa. Mnawapa shida tu wanawake wa watu.

Jirani sumbai nimeona lile neno lako pendwa hapa. Hahaaaa.
 
Hahahaaaa. Wataka mdada wa watu aangukiwe na jumba bovu.

Huwa naona mie pia ila sijui kwa nini hii tabia ipo na sijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke maana waeza kuta ni katoto kanaenda shule na kamevaa sketi ya shule ila unakuta kanagandana na mtu kisa tu kakaa naye siti moja.

Ila hebu tujadili Wadau dawa ya hii kitu ni nini? Na ni nini inasababisha hii kitu?

Japo tusihalalishe kwamba wote wanaopeana namba lengo ni mapenzi.
Ukhty wataka anzisha uzi ndani ya uzi?

Mungu anakuonaa
 
Hapo ni sawa kabisa. Maana kikawaida kama usemavyo huwezi safiri na mtu hata story isiwepo japokuwa mara nyingi zinakuwepo wakiwa jinsia mbili tofauti. 😂😂😂😂

Mie nshawahi safiri kwenda sehemu ila haikuwa safari ndefu ni kama masaa 6 hivi, nilikaa na mdada huyo ye yuko busy na simu yake mpaka tukafika aiseee.
Aisee! Basi mi ni tatizo, unaweza kaa na Mimi siti moja hata safari iwe ya Massa kumi no story, yaani kuna kipindi huwa najishangaa, yaani hata ukinisemesha nitaona kama unanikera tu, huwa sipendi story sijui kwa nini...! Na nikikaa na Mwanamke ndo kabisaa... Afadhari mwanaume mwenzangu tunaweza ongea mawili matatu, lakini mwanamke huwa sitaki mazoea nao niwapo safarini, waifu mwenyewe kuna kipindi akiwa ananisemesha huwa namuweka wazi tu, "naomba uniache". Ye ataenda kuendelea na shughuli zake mi ananiacha ndani
 
Hahaaa. Naona unawakingia kifua wanaume Shooo. Hivyo na wao kutongoza ni kawaida.

Kikubwa wanawake tusiwape nafasi wanaume za huko kuimbishwa maana eti mtu anashuka njiani kisa mtu ambaye hata nauli hajamlipia. Duuuh.

Maajabu hayo kwani wanashikiwa fimbo?
Siwakingii kifua. Ila hatuwezi kataa wala kupinga kuwa mitongozo tunaipata sana. Iwe ni wakati wa kwenda vigengeni au masafa ya mbali. Mwanamke ndo anatakiwa ajitambue na kujithamini. Vinginevyo... Ni hasara kwa mume/mchumba. Kushuka njiani huu ni ujinga uliotukuka
 
Kama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro

Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao

Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote

Masela Kusaidiana bana.
Kuna tofauti Kati ya Whatsoop na JF
 
Updates:

Sasa hivi namuona Brenda amesinzia, shingo ameilazia kwenye bega la jamaa

Jamaa akilala na yeye lazima niwapige picha kabisa

Roho inaniuma sana kuona kijana mwenzangu anaibiwa hivi hivi na usikute nauli katoa jamaa ya kumsafirisha demu wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom