Upendo huo bro mmeagizwa na nani ?Hapo saaafi. Huo ndio upendo ule tulio agizwa
Upendo huo bro mmeagizwa na nani ?Hapo saaafi. Huo ndio upendo ule tulio agizwa
Afadhali umebadilika aisee.Chat za basi sifuatilii siku hizi, ila nikiwa ndani ya basi sitaki kukaa na mmama wala mbaba MTU mzima asipokuwa mrembo basi substitute awe mchizi mchizi kama mzee baba hapo tunaweza piga story kibao siasa,Mpira ngumi nk
Haya maneno yana hadhi ya kuandikwa kwa wino wa dhahabu. Katika jambo ambalo siliwezi ni kuwa na urafiki na mtoto wa kike na sijawahi,nikizoena na mtoto wa kike kwa maana ya kupiga nae story sina cha ziada zaidi ya kumtaka tu.kumzoea mtoto wa kike kama sio kwa mission fulani ,ni hatari kwa afya yako.ndo maana mazoea yanaruhusiwa pale tu mnapokuwa na mission fulani,tena mazoea hayo yawe tu ni katika muda wa kazi,lakni ukishaona hata mkuu wako wa kazi akiwa ni mwanamke anakuja geto eti kukuona unavyoishi ujue tayari amesha hatarisha afya ya ubongo tayari,niliwahi kuwaacha mademu zangu wengi kwa style yao ya udhaifu.There is no pure friendship between men and women.Na ndo maana katika familia zetu tunatakiwa kuwalinda watoto wetu wa kike na wa kiume.
Karibu sanaSawa Sesten 🙏🙏🙏
Ooh. Sawa Mkuu.🙂 tumetofautiana kibaolojia mrembo. Huwa mtu unajikaza lakini kumbuka defeat is not an option.
aisee ungesafiri na mim kwenda chato usingejutia mtaniHapo ni sawa kabisa. Maana kikawaida kama usemavyo huwezi safiri na mtu hata story isiwepo japokuwa mara nyingi zinakuwepo wakiwa jinsia mbili tofauti. 😂😂😂😂
Mie nshawahi safiri kwenda sehemu ila haikuwa safari ndefu ni kama masaa 6 hivi, nilikaa na mdada huyo ye yuko busy na simu yake mpaka tukafika aiseee.


mkuu mbna unanitangaza mimi kuongea na Brenda""""" maana nataka kukuna avocadoHahahaaa. Mie sinaga mazowea na watu ya haraka haraka hivyo ujue.Subiri siku tutakayo kaa siti moja mimi na wewe ndio tutajua nani huwa mzaifu kati yetu.
Hahaahaa. Wacha weeee.aisee ungesafiri na mim kwenda chato usingejutia mtani
Hahahaaa. Mie sinaga mazowea na watu ya haraka haraka hivyo ujue.
Nitakusalimia tu wakati wa kukaa baada ya hapo nasinzia.![]()



ataingia ndotoni dadaHahahaaa. Hawezi Kaka.ataingia ndotoni dada
Unabisha nini sasa ? Unavijua vimbwanga na marololoso ya ndoto wewe ?Hahahaaa. Hawezi Kaka.
☻☻☻☻DadaHahahaaa. Hawezi Kaka.
Hahaaaa. Umerudi MKUU. 🏃♂️🏃♂️🏃♂️Unabisha nini sasa ? Unavijua vimbwanga na marololoso ya ndoto wewe ?
Niambie Kaka ake!☻☻☻☻Dada
Nimerudi na nina kufatilia kinoma. Ila sipendezwi na wewe unavyoniita mkuuHahaaaa. Umerudi MKUU.♂️
♂️
♂️
Nimerudi kwa ajili yako.Hahaaaa. Umerudi MKUU.♂️
♂️
♂️