Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

Oooh. Kuumbe
kumzoea mtoto wa kike kama sio kwa mission fulani ,ni hatari kwa afya yako.ndo maana mazoea yanaruhusiwa pale tu mnapokuwa na mission fulani,tena mazoea hayo yawe tu ni katika muda wa kazi,lakni ukishaona hata mkuu wako wa kazi akiwa ni mwanamke anakuja geto eti kukuona unavyoishi ujue tayari amesha hatarisha afya ya ubongo tayari,niliwahi kuwaacha mademu zangu wengi kwa style yao ya udhaifu.There is no pure friendship between men and women.Na ndo maana katika familia zetu tunatakiwa kuwalinda watoto wetu wa kike na wa kiume.
 
ukizunguushwa pengine unapimwa

Kutongoza sio maneno tu cute b kuna aina nyingi na mbinu mbalimbali za kutongoza na kwa vile wewe Ke ni katka viwindwa sio busara nibwabwaje hapa
Mwanamke unapomzungusha mwanaume ujue kuna utongozaji wa aina 1001, na ukija kushtuka unakuta ushaliwa inabaki historia tu, oooh huyu nilikua simpendi nikimuona nilikua namkimbia, sijui namwambia mama yupo, sijui nimesafiri lakini mwisho wasiku ulimpelekea mwenyewe bila kulazimishwa 😀😀😀
Hahahaha hii ni kweli kabisa naunga mkono hoja
 
Kukubaliwa Hajar yaani unakua umeeleweka sera zako kwa kifupi

Hujatumia vifaru, mizinga wala mabomu ya machozi

Amekija mwenyewe kwa miguu yake na kwa mikono yake akashika pichu yake akaivua

Kwako mwalim Kashaha😀😀😀
Eeeh naona mtanange upo salama kabisa..
Mpaka sasa mnaongoza kwa 4-1 .
Wewe unadhani ni kitu gani kinakupatia maksi za ushindi..
Kwako mwalimu kashasha.
Daaahhh hahahahaaha
 
kumzoea mtoto wa kike kama sio kwa mission fulani ,ni hatari kwa afya yako.ndo maana mazoea yanaruhusiwa pale tu mnapokuwa na mission fulani,tena mazoea hayo yawe tu ni katika muda wa kazi,lakni ukishaona hata mkuu wako wa kazi akiwa ni mwanamke anakuja geto eti kukuona unavyoishi ujue tayari amesha hatarisha afya ya ubongo tayari,niliwahi kuwaacha mademu zangu wengi kwa style yao ya udhaifu.There is no pure friendship between men and women.Na ndo maana katika familia zetu tunatakiwa kuwalinda watoto wetu wa kike na wa kiume.
Chief umeandika kwa msisitizo sana.
 
Kama Demu ako anaitwa Brenda, ni mrefu, mwembamba, mweupe na anasafiri kwenda Arusha kapanda Basi la Kilimanjaro

Namuona hapa anaongea na jamaa mwingne pembeni yake tokea safari imeanza, Na wameshabadilishana namba za Simu, Wamenunua keki njiani wanalishana na wanacheka kwa raha zao

Bahati mbaya sifiki mpaka Arusha nashukia Njiani, ningeendelea kukupa Information zote

Masela Kusaidiana bana.
teh teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom