Shtuka..! Unaibiwa

Shtuka..! Unaibiwa

Hahahaaaa. Wataka mdada wa watu aangukiwe na jumba bovu.

Huwa naona mie pia ila sijui kwa nini hii tabia ipo na sijui anayekuwaga mdhaifu hapo ni nani kati ya Me na Ke maana waeza kuta ni katoto kanaenda shule na kamevaa sketi ya shule ila unakuta kanagandana na mtu kisa tu kakaa naye siti moja.

Ila hebu tujadili Wadau dawa ya hii kitu ni nini? Na ni nini inasababisha hii kitu?

Japo tusihalalishe kwamba wote wanaopeana namba lengo ni mapenzi.
ni kujaamiiana (socialize) tu
 
Kaka ako wapi acha miyeyusho ?! Nakumind wewe ?!
Mzee baba unaona kusubiria mpaka itokee usafir na Hajar unaamua kuanzia humu jamvini tena sio PM, salute zote yani nakupa
 
Hahahaaa. Mie sinaga mazowea na watu ya haraka haraka hivyo ujue.

Nitakusalimia tu wakati wa kukaa baada ya hapo nasinzia. 😂😂😂
Kitendo tu cha kupewa nafasi ya kusinzia inaonyesha moja kwa moja ulie keti nae kwa siti hana swaga. Ukweli ni kwamba jinsia mbili tofauti kukaa pamoja kwa masaa kadhaa huku kila mtu akiwa kivyake hilo ni kosa kubwa la kimfumo pia haipendezi.
 
Kwanini usicheke sasa Hajar

Furaha na kicheko huongeza umri ujue😀😀😀
Hahahaaa. Ndio hapo sasa maana nimecheka hiyo Totototoooooo kwani nimekumbuka Wimbo mmoja hivi.

Hivyo nikavuta picha wanavyojibu Chuchuchuuuuuu. 😂😂😂😂 ikanibidi nicheke tu Hajar miee. Na natumai nimeongeza Umri.
 
Kitendo tu cha kupewa nafasi ya kusinzia inaonyesha moja kwa moja ulie keti nae kwa siti hana swaga. Ukweli ni kwamba jinsia mbili tofauti kukaa pamoja kwa masaa kadhaa huku kila mtu akiwa kivyake hilo ni kosa kubwa la kimfumo pia haipendezi.
😂😂😂😂😂 kumbe na wewe ndio wale wale waimbishaji eeee?
 
na ukute jamaa yake brenda ni moja kati ya mods humu kwa taarifa hii nyeti lazima upelekwe jukwaa la wakubwa tena vip hiyo ni kama shukrani, Asante.
 
Hahahaaa. Ndio hapo sasa maana nimecheka hiyo Totototoooooo kwani nimekumbuka Wimbo mmoja hivi.

Hivyo nikavuta picha wanavyojibu Chuchuchuuuuuu. 😂😂😂😂 ikanibidi nicheke tu Hajar miee. Na natumai nimeongeza Umri.
Hahahaaaaa, kumbukumbu zako zipo sahihi kabisa Hajar

Tototoooooo......chuchuchuuuuuu

Kwa cheko lako hilo umeongeza miaka mia ya kuishi😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom