Show za kibabe

Show za kibabe

Ndugu Mshana hotuba zina akisi kile mtu anachokiamini na kukisimamia kutoka moyoni. Nadhani huyu mama alikuwa akielezea hisia za moyoni mwake. Hata waafrika wanaweza kuelezea hisia zao nakushauri usikilize hotuba za Prof. P. L. O. Lumumba wa Kenya. Huyu alikuwa ni mkuu wa taasisi ya kupambana na Rushwa Kenya kabla hajatumbuliwa.
 
Acha ujuha wako wa kufananisha mipango ya Mungu na madikteta! Wewe kweli hamnazo! Duh!

We unafikiri aliposema kamuumba binadamu kwa mfano wake, wewe ulifikiri ni katika kula babu? Katika kufanya maamuzi muzee, ukitaka kufeli hata kwenye familia yako wewe jifanye unaijua demokrasia na unaitekeleza kwako utakiona cha moto, mkeo kama hajarudi nane usiku halafu akakuambia alikuwa na hamu ya kukaa na kupiga story na fulani kwa kutumia uhuru wa kuamua anayetaka kujumuika nae. Acheni maigizo, sasa tufumbue macho tuone ukweli, haya maigizo yanatupoteza. Ndani ya nyumba sauti huwaga moja, hakuna panya yeyote mwingine kufanya fyoko!
 
Ndugu Mshana hotuba zina akisi kile mtu anachokiamini na kukisimamia kutoka moyoni. Nadhani huyu mama alikuwa akielezea hisia za moyoni mwake. Hata waafrika wanaweza kuelezea hisia zao nakushauri usikilize hotuba za Prof. P. L. O. Lumumba wa Kenya. Huyu alikuwa ni mkuu wa taasisi ya kupambana na Rushwa Kenya kabla hajatumbuliwa.
Tata nakubaliana nawe ndio maana nikamlenga yeye moja kwa moja na kwa upande wa waafrika nililenga wale viongozi wetu wakubwa kabisa
 
Bado hotuba ya Michelle Obama ni ya kiwango cha chini sana ukilinganisha na hotuba ya mtukufu JPM aliyoitoa kule Ethiopia, kila mtu alikuwa kimya kumsikiliza jinsi anavyomwaga madini. Inasadikika itaingia katika hotuba bora kabisa kuwahi kutolewa na mkuu nchi kwa karne na karne zijazo.
 
Bado hotuba ya Michelle Obama ni ya kiwango cha chini sana ukilinganisha na hotuba ya mtukufu JPM aliyoitoa kule Ethiopia, kila mtu alikuwa kimya kumsikiliza jinsi anavyomwaga madini. Inasadikika itaingia katika hotuba bora kabisa kuwahi kutolewa na mkuu nchi kwa karne na karne zijazo.
 
Shukrani Mkuu kuna watu humu wakiamua kuonyesha ujuha wao humu hadi unashangaa! Duh! Nadhani tunaweza kuchukua ushindi kwa kuwa nchi yenye majuha wengi duniani.

Nimemuona mapema kabisa nikaamua kumpotezea
 
Mtani HOTUBA za WAAFRIKA wenzetu ni za vitisho kwa sababu kubwa nne:

1.Siyo viongozi bali ni watawala.
2.Wenyewe hajiamini
3.Uzalendo kwao ni namna gani ya kunyonya mnyonge na kujilimbikizia mali.
4.Viongozi wa DINI kuwaona wao ni bora zaidi kuliko RAIA wao

Kwao kikubwa ni kwa namna gani wanaogopeka.Amani kwao ni unyonge na kutohojiwa kwa maovu yao.
Asomae na afahamu
 
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Kwani huyu mama alikua kiongozi wa nini?... Kama upendo tu, mbona mama Jannet au mama Salma walikua wazuri tu, walikua wanatoa maneno mazuri na hotuba mzuri, Juz juz mama Salma kupewa zawadi
 
Hilo la ushoga tumejaza unafiki tuu. Tuukubali au tuukatae, huo ushoga upo ndani ya jamii kwa kiwango kikubwa na tuache kusingizia nchi zingine kwamba ndio zinaueneza huku kwetu.
Kwani yule Kiongozi wa uvccm ambaye huwa kila mara anaenda mapumziko Mombasa na ndani ya chama wanajua anafuata nini huko jee Serikali ya Obama ndiyo imemfundisha mchezo huo? Jee kama ccm inapinga vitendo hivyo sii wangemfukuza uongozi kwani mambo hayo anayafanya kwa uwazi ?
Muhimu ni kujifunza kuwa tabia hiyo sio nzuri, usimgonge mwenzio wala usiruhusu kamwe kugongwa.
Mkuu,kuna binadamu wenzetu wanajiona kua wao ni smart sana kuliko wengine,ni unafiki tuu umetujaas mtu akiwa hadharani anaupinga ushoga kwa nguvu zoteee,anapojificha ndo wa kwanza kushiriki kwa namna yoyote ile vitendo vya kishoga.

Mtaani kwetu watu wanapinga sana ushoga mchana ikifika usiku wanajazana kwenye vigodoro ambapo mashoga ndo wanenguaji wakuu.
 
Kiukweli hotuba anazotoa michelle obama ni za kiwango kikubwa sana very insipiring kuna ile alitoa 2008 katika Democratic National Convention

Ilikia imeshiba pia kuna aliokua anapinga ubabe wa trump kwa wanake mwaka jana akiwa anamuombea kura hillary "when they go low we go high" kiukweli yule mama yuko vizuri sana


 
View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.

Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.

Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.

Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Huyo mama na mumewe wote wastaarabu sana halafu vichwa. Huko ndiko kwenda shule kwa maana ya kupata elimu na kuelimika sio kusoma bila kuelimika na kustaarabika
 
Yaani Obama angechelewa kidogo ningemuoa huyu dada...ananibariki sana!

Haa haa haa.....!!

Angeweza kukuambia ".....I am sorry, I love someone else", ungefanyaje mkuu?

Si unajua tena wenzetu waliotanguliaga kuona nuru ya jua la ufahamu? Hawakopeshagi na wala hawanaga longo longo kwenye hizo ishu za matamanio yako wala zile......mmh..
mmh....eeh....eeh, may be I wil tell you tomorrow!!??

Anakupa za uso na mashavu "live" pale pale huku unaona
 
Haa haa haa.....!!

Angeweza kukuambia ".....I am sorry, I love someone else", ungefanyaje mkuu?

Si unajua tena wenzetu waliotanguliaga kuona nuru ya jua la ufahamu? Hawakopeshagi na wala hawanaga longo longo kwenye hizo ishu za matamanio yako wala zile......mmh..
mmh....eeh....eeh, may be I wil tell you tomorrow!!??

Anakupa za uso na mashavu "live" pale pale huku unaona
Mkuu unadhani mimi na Obama tunatofautiana kikubwa basi? Ningezaliwa mbele ningekuwa namaliza muda wangu wa Upresdaa!
 
Najaribu kuwaza tuu, jee Michelle angekuwa ni 1st mamaa wa kwetu kwa sasa ni mabadiliko gani yangekuwepo kwa 1st gentleman wetu?
Maana wanasema ukiona mafanikio ya mwanamume ujue nyuma yake kuna mwanamke.
cc; Evelyn Salt
 
View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.

Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.

Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.

Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Huyo mama ni profesa wa kiwango cha Havard University,Mwanasheria
 
Back
Top Bottom