Show za kibabe

Show za kibabe

umeruka kama umekanyaga mbigili mtani

Mtani bwana unajua kule kwetu Machame hatupigwi,tunafundishwa kukatia ng'ombe majani tu na kutafuta fweza!!!!!!!!Ukileta za kuleta unaishia kwa kaburi,ndiyo sababu tunaitwanga WAPALESTINA
 
View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.

Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.

Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.

Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Mkuu mda wote yuko down alikua wap kutoa hotuba akiwa first lady...? Halafu kwa nn una dharau viongoz wa Africa...? Nan aliye kiongoz bora... Je n yule apingae ushoga ama anae halalisha ndoa ya jinsia moja kwenye jengo la white house... Halafu wanainch wanaambiwa God bless America. Huyo mama atembee zake tu maana hakua mshaur mzur kwa mumewe
 
Mkuu mda wote yuko down alikua wap kutoa hotuba akiwa first lady...? Halafu kwa nn una dharau viongoz wa Africa...? Nan aliye kiongoz bora... Je n yule apingae ushoga ama anae halalisha ndoa ya jinsia moja kwenye jengo la white house... Halafu wanainch wanaambiwa God bless America. Huyo mama atembee zake tu maana hakua mshaur mzur kwa mumewe
Asante kwa mchango hatuwezi kufanana mitazamo na hilo si tatizo hata kidogo
 
Nina haki na wajibu kamili kwenye hili alimradi tu simkosei mtu kwa namna yoyote ile wala sivunji katiba ya nchi na uhuru wa kutoa maoni kama mtanzania
Ulijibland vizuri kule kwenye (social atarvism)...huku naona hautoshi..though una haki ya kutoa maoni
 
Mwanamke alikuwa anaongea na wanawake wenzie,lazima walie kwa sababu ni kawaida kulia lia kwa mwanamke,hatuhitaji hotuba kama hizo kipindi hiki tufanye kazi kwanza baadae ndo tubembelezane ,kisa mzungu kalia eti na sisi tulie khaaa
 
View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.

Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.

Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.

Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Mkuu huyu mama hana interest na siasa?. Angeweza kuwa mwanasiasa mzuri.
 
Back
Top Bottom