ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 5,026
- 11,833
Hahahah uganga miyeyusho mkuuMkuu naona yale mambo ya uganga siku hizi umeyaweka pembeni umegeukia kwny siasa......!!
Hahahah uganga miyeyusho mkuuMkuu naona yale mambo ya uganga siku hizi umeyaweka pembeni umegeukia kwny siasa......!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umeruka kama umekanyaga mbigili mtani
Mkuu mda wote yuko down alikua wap kutoa hotuba akiwa first lady...? Halafu kwa nn una dharau viongoz wa Africa...? Nan aliye kiongoz bora... Je n yule apingae ushoga ama anae halalisha ndoa ya jinsia moja kwenye jengo la white house... Halafu wanainch wanaambiwa God bless America. Huyo mama atembee zake tu maana hakua mshaur mzur kwa mumeweView attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Yanaweza kutamkwa na lemaView attachment 465951
Maneno kama haya yanaweza kutamkwa na kiongozi gani wa kiafrika? Mugabe? Oh no please Kagame? My God! Museveni?![]()
![]()
![]()
The rest?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante kwa mchango hatuwezi kufanana mitazamo na hilo si tatizo hata kidogoMkuu mda wote yuko down alikua wap kutoa hotuba akiwa first lady...? Halafu kwa nn una dharau viongoz wa Africa...? Nan aliye kiongoz bora... Je n yule apingae ushoga ama anae halalisha ndoa ya jinsia moja kwenye jengo la white house... Halafu wanainch wanaambiwa God bless America. Huyo mama atembee zake tu maana hakua mshaur mzur kwa mumewe
Ulijibland vizuri kule kwenye (social atarvism)...huku naona hautoshi..though una haki ya kutoa maoniNina haki na wajibu kamili kwenye hili alimradi tu simkosei mtu kwa namna yoyote ile wala sivunji katiba ya nchi na uhuru wa kutoa maoni kama mtanzania
View attachment 465951
Maneno kama haya yanaweza kutamkwa na kiongozi gani wa kiafrika? Mugabe? Oh no please Kagame? My God! Museveni?![]()
![]()
![]()
The rest?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jiwe la gizani![]()
![]()
![]()
Unamlenga nani Afrika mkuu?
Naunga mikono na miguu hoja 100%Na Michelle ni kati ya wanaotarajiwa "kuchukua fomu" kwa ajili ya uchaguzi wa urais 2020.
Hahaaa nimejichekea kama mazuriYaani Obama angechelewa kidogo ningemuoa huyu dada...ananibariki sana!
Mkuu huyu mama hana interest na siasa?. Angeweza kuwa mwanasiasa mzuri.View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Atapigwa asubuhiiiii mapema hata kabla ya misa kuanza, atulie tu asijipe preshaNa Michelle ni kati ya wanaotarajiwa "kuchukua fomu" kwa ajili ya uchaguzi wa urais 2020.
Hakuna Mkuu...View attachment 465951
Maneno kama haya yanaweza kutamkwa na kiongozi gani wa kiafrika? Mugabe? Oh no please Kagame? My God! Museveni?![]()
![]()
![]()
The rest?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nimekosa tu kipaji cha kuwa Rais wa US kwa kuwa baba yangu hakuwahi kuniotea ndoto hiyo kama babaka Barack alivyoota ila cha kuolea ninacho!Hahaaa nimejichekea kama mazuri