Sijabahatika kuziona hotuba zao nitafurahi ukiziweka hapa...! Nawaheshimu sanaKwani huyu mama alikua kiongozi wa nini?... Kama upendo tu, mbona mama Jannet au mama Salma walikua wazuri tu, walikua wanatoa maneno mazuri na hotuba mzuri, Juz juz mama Salma kupewa zawadi
Fursa sawa kwa wote..Unamlenga nani Afrika mkuu?
Wanasemaga soseji ya Los Angeles si ya Manzese midizini wala Tandale kwa Bibi nyauNajaribu kuwaza tuu, jee Michelle angekuwa ni 1st mamaa wa kwetu kwa sasa ni mabadiliko gani yangekuwepo kwa 1st gentleman wetu?
Maana wanasema ukiona mafanikio ya mwanamume ujue nyuma yake kuna mwanamke.
cc; Evelyn Salt
Fursa sawa kwa wote..Unamlenga nani Afrika mkuu?
Kwanza kiinglish ni tatizo kwake labda aongee kilugha chake cha UlayaHow is the current US first lady going to match this?
Umeeeleza vizuri sana nikadhani nitapata cha maana kutoka kwako kumbe shida yako ni kuonyesha rangi yako ni ipi!!!Jogoo akiwika na asipowika kutakucha tu acheni chuki zenu hizo!!!View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Siku izi plo Lumumba ameanza kuwa kanjanja mkubwaNdugu Mshana hotuba zina akisi kile mtu anachokiamini na kukisimamia kutoka moyoni. Nadhani huyu mama alikuwa akielezea hisia za moyoni mwake. Hata waafrika wanaweza kuelezea hisia zao nakushauri usikilize hotuba za Prof. P. L. O. Lumumba wa Kenya. Huyu alikuwa ni mkuu wa taasisi ya kupambana na Rushwa Kenya kabla hajatumbuliwa.
Unaweza kutoa ushahidi kuhusu ukanjanja wa huyu Professor msomi wa sheria? Mimi najua kanjanja ni mtu ambaye anafanya kazi ambayo hajaisomea - yaani anatumia uzoefu tu. Au nitajie Professor wa kitanzania ambaye unaweza kumlinganisha kwa uwezo wa kuchambua na kuwasilisha mada na huyu unayemwita ni kanjanja.Siku izi plo Lumumba ameanza kuwa kanjanja mkubwa
Huyo mama na mumewe wote wastaarabu sana halafu vichwa. Huko ndiko kwenda shule kwa maana ya kupata elimu na kuelimika sio kusoma bila kuelimika na kustaarabika