Usidhani nimemaanisha ya nanii lakini... mi siko huko! Wacha nimsikilize huyo mama... namkubali sana huyo mama; kwanza kichwani zimejaa na sio za kuunga unga!!!
Sijamaanisha ivo mkuu, naona kama vle ka fani kako unakatelekeza sana siku hizi yani hata hatuoni zile nyuzi zako kali za kusisimua na kuogopesha zikiwa zimeshiba uchambuzi mzito wa kigangaNina haki na wajibu kamili kwenye hili alimradi tu simkosei mtu kwa namna yoyote ile wala sivunji katiba ya nchi na uhuru wa kutoa maoni kama mtanzania
sijaleta tetemekoMkuu utakuwa unamlenga sizonje, mwafaa, msinijaribu, usilete fyokofyoko
View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Hahahahaha akusaidie lile tatizo lako la jini mahabaSijamaanisha ivo mkuu, naona kama vle ka fani kako unakatelekeza sana siku hizi yani hata hatuoni zile nyuzi zako kali za kusisimua na kuogopesha zikiwa zimeshiba uchambuzi mzito wa kiganga
Jiwe la gizani![]()
![]()
![]()
Daah huyo kama mumewe tu tafuta CV zake uone utakavyoshangazwa,ingekuwa bongo maneno yasingeishaHow is the current US first lady going to match this?
Mtani HOTUBA za WAAFRIKA wenzetu ni za vitisho kwa sababu kubwa nne:
1.Siyo viongozi bali ni watawala.
2.Wenyewe hajiamini
3.Uzalendo kwao ni namna gani ya kunyonya mnyonge na kujilimbikizia mali.
4.Viongozi wa DINI kuwaona wao ni bora zaidi kuliko RAIA wao
Kwao kikubwa ni kwa namna gani wanaogopeka.Amani kwao ni unyonge na kutohojiwa kwa maovu yao.
Huyu naona keshatekwa sana na mambo ya kisiasaHahahahaha akusaidie lile tatizo lako la jini mahaba
mkirogwa mkawapa wapinzani nchi itageuka libya hii - hahahaha, ninanukuuView attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Siku hizi siasa na kule jamii photosHuyu naona keshatekwa sana na mambo ya kisiasa