Mkuu Mshana, asante kwa hii kitu, kitu cha kwanza kabla mzungumzaji fulani hajazungumza kama fulani ni uwezo wa kusikia ni kitu kimoja, uwezo wa kuelewa ni kitu kingine, na uwezo wa kuyatenda hayo uliyoyasikia nayo ni kitu kingine kabisa.View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Hii sheria kandamizi ya vyombo vya habari inatunyima kuchangia kwa uhuru mada hizi....tumejengewa hofu ya kulazimizhwa na kupewa limitations kwenye uwezo wetu wa kufikiri na kutafsiri maono ya kile tunachoona ndio kingepaswa kuwa na la zaidi kuleta ulinganifuMkuu Mshana, asante kwa hii kitu, kitu cha kwanza kabla mzungumzaji fulani hajazungumza kama fulani ni uwezo wa kusikia ni kitu kimoja, uwezo wa kuelewa ni kitu kingine, na uwezo wa kuyatenda hayo uliyoyasikia nayo ni kitu kingine kabisa.
Kusikia ni uwezo wa kuisikia hiyo lugha inayozungumzwa humo. Na baada ya kusikia, unafuatia uwezo wa kuelewa hicho kilichozungumzwa humo na baada ya kuelewa ni uwezo wa kuyatenda hayo yaliyozungumzwa! .
Kwa mtazamo wako, viongozi wetu wana uwezo huo? .
Paskali
Hahahahahahhaa, sasa wewehotuba ya kike kike ya nafasi inayopatika kwa kuolewa tu, unafananisha na hotuba za wanamume wanaopigiwa kura? We vipi wewe? Fananisha hotuba za wanamume wanaopigiwa kura waliopo madarakani uone ukweli wa mambo!

View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Kizazi cha waoga na wavivu wa kuchanganua mambo. Kizazi cha watu waongo, kizazi cha watu ambao wakiona moto wanasema mafuriko![]()
![]()
tutatishana mpaka lini? Tunajenga kizazi gani?
![]()
![]()
View attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Zimesaidia kuleta mjadala kama huu na reply kama hiiHotuba zinamsaidia nini Mniga anayesota Geto bila ya kazi wewe? Huyo mama mume wake Obama amehamisha kazi za Mamilioni ya Wamarekani kwenda Mexiko na Uchina, Wamarekani weusi wengi hawana kazi leo zaidi walivyokuwa kabla huyo mama hajaingia sasa inawasiaida nini hizo Hotuba zake?
JPM anasema kuzi kwa kusoma kuwa mwalimu alikuwa mwakilishi wa oau badara ya kusema mwanzilishi, mkaliman naye katafsiri .... he was a representative.....! Aibu tupuView attachment 465950 Nimeangalia video ya Michelle Obama wakati akiwaaga wamarekani kupitia wanafunzi wa chuo kikuu...Hotuba ile aliyoitoa yule mwanamama maneno aliyoongea ni wachache sana duniani hata wenye elimu kiwango change phd wake kwa waume wanaweza kuitoa (nikijaaliwa nafasi nitaweka tafsiri yake hapa kwa tafsiri ya kikwetu.
Ni mojawapo ya hotuba bora kabisa kuwahi kutokea miaka ya hivi karibuni duniani, hotuba ya kutia hamasa kutia moyo kuamsha uzalendo na matumaini kujiamini na kujenga uwezo wa kutenda na kufikiri kwa njia chanya zaidi. Uhuru wa kujieleza matamanio ndoto mitazamo na hata maono
Niliwaona wazungu wakitokwa na machozi, ni hotuba inayopinga kunyanyapaa na kujinyanyapaa.
Nikakukumbuka hotuba za viongozi wetu wa kiafrika zilizojaa ubabe vitisho na kuwajenga watu kuishi kwa woga na kutojiamnini.
Tunajenga Taifa gani hili? Hatuwezi kuiga kwa Michelle?
Madikteta wakishagundua hawapendwi huanza ubabe na vitisho ili wasikosolewe. Hawa ni watu ambao kukosolewa huwa kunawanyima raha sana na hutumia hata nguvu ya vyombo vya dola ili kuzuia Wananchi wasiwakosoe. Mifano ipo ya kutosha tu ya hao madikteta.
Aaah huyu wa Trump ni porn starHow is the current US first lady going to match this?
Mungu alipoumba dunia alifanya udikteta, shetani alipotaka demokrasia alifukuzwa paradiso, Adam na Hawa walipotaka demokraasia waliadhibiwa, unaumbwa kwa udikteta pasipo kuchagua baba, mama, rangi, wala siku ya kuzaliwa, unauliwa kwa udikteta. Wanaume wameumbwa kwa mfano wa Mungu ili wawe madikteta, mababa wengi timamu majumbani ni madikteta, wanaamua wapi wanunue kiwanja, wajenge nyumba ya aina gani, watumie shilingi ngapi. Mungu amesha amuau mpaka kitaka kufanya mapenzi uingize tundu gani! Demokrasia haijawahi kufanya kazi duniani, ni myth inayowafanya wajinga waone kuwa nao eti wana nafasi.
Kama unataka kuona madikteta wasivyopenda kukosolewa anza kukosoa mipango ya Mungu ukione cha moto. Demokrasia, demokrasia ni mambo tu ya ujinga uijinga watu wanatiwa wazimu mpaka wanataka kufanya mambo kinyume cha maumbile. Demokrasia kwa maneno mengine nihali ya kutaka kufanya mambo kinyume cha asili, kinyume cha maumbile!