Show your hand writing(mwandiko)

HAKUNA mwenye mwandiko mbaya humu, nikiweka wakwangu hii thread itafungwa yaan mwandiko wangi ndyo funga kaz ...maana maneno 100 najaza kurasa zima uku bado ukiwa hausomeki wala hautamaniki,...endeleeni kujipamba na miandiko yenu ya kuombea kazi, wengine tulkuwa na tuzo za poor handwriting shule nzimaa, yaan ukiandika kweny mtian mwalmu aangaik kusoma, anaweka tiki kuogopa kukukosesha ama anakuita ukamsomeehili tatizo sjui hata necta form4 walitumia microscope kuhakiki mwandiko wangu..
 
20200715_170629.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpka sasa niseme ukweli mwandiko wa babe wangu ndio kwangu mzuri..
Hutaki meza tikiti..
😁😁😁🚶🚶🚶
 
Back
Top Bottom