HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 386
- 392
Huu upo Kama wa mzee wangu!
Mzee wa mikekaSina mwandiko constant, huu nikiwa naandika taratibu. Nikiwa naandika haraka haraka unakuwa mbaya sanaView attachment 1856252
Kwa mwandiko wako tu haufai kupewa siri yoyote within minutes unaimwaga pwaa.
Eti huo mwandiko wangu ni zilipendwa, dah huyo mdau kaniweza aise😂😂😂Kuna mtu amesema eti huo mwandiko umemkumbusha mbali sana,eti kama wa bibi yake
Haki nimelala jana nacheka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti huo mwandiko wangu ni zilipendwa, dah huyo mdau kaniweza aise
Ila mkuu mwandiko wako hata mimi nilipouona tu nikacheka.Nimeambiwa huo ni mwandiko wa kibibi eti
uko vizuri 😍
Nshawahi kuambiwa naandika kama nimepigwa electric shock.Thank God for technology Application letter twaandika kwa ku type wengine miandiko ingetukosesha kazi!!!View attachment 1859474
Siku hizi tunachoronga kwenye simu na laptop, mtusamehe!View attachment 1860587